< Isaiah 3 >

1 For behold, the Lord GOD of Hosts is about to remove from Jerusalem and Judah both supply and support: the whole supply of food and water,
Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
2 the mighty man and the warrior, the judge and the prophet, the soothsayer and the elder,
mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
3 the commander of fifty and the dignitary, the counselor, the cunning magician, and the clever enchanter.
naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
4 “I will make mere lads their leaders, and children will rule over them.”
Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
5 The people will oppress one another, man against man, neighbor against neighbor; the young will rise up against the old, and the base against the honorable.
Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
6 A man will seize his brother within his father’s house: “You have a cloak—you be our leader! Take charge of this heap of rubble.”
Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
7 On that day he will cry aloud: “I am not a healer. I have no food or clothing in my house. Do not make me leader of the people!”
'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
8 For Jerusalem has stumbled and Judah has fallen because they spoke and acted against the LORD, defying His glorious presence.
Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
9 The expression on their faces testifies against them, and like Sodom they flaunt their sin; they do not conceal it. Woe to them, for they have brought disaster upon themselves.
Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
10 Tell the righteous it will be well with them, for they will enjoy the fruit of their labor.
Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
11 Woe to the wicked; disaster is upon them! For they will be repaid with what their hands have done.
Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
12 Youths oppress My people, and women rule over them. O My people, your guides mislead you; they turn you from your paths.
Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
13 The LORD arises to contend; He stands to judge the people.
Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
14 The LORD brings this charge against the elders and leaders of His people: “You have devoured the vineyard; the plunder of the poor is in your houses.
Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
15 Why do you crush My people and grind the faces of the poor?”
Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
16 The LORD also says: “Because the daughters of Zion are haughty— walking with heads held high and wanton eyes, prancing and skipping as they go, jingling the bracelets on their ankles—
Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
17 the Lord will bring sores on the heads of the daughters of Zion, and the LORD will make their foreheads bare.”
Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
18 In that day the Lord will take away their finery: their anklets and headbands and crescents;
Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
19 their pendants, bracelets, and veils;
bangili za miguu na taji zao;
20 their headdresses, ankle chains, and sashes; their perfume bottles and charms;
kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
21 their signet rings and nose rings;
Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
22 their festive robes, capes, cloaks, and purses;
sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
23 and their mirrors, linen garments, tiaras, and shawls.
vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
24 Instead of fragrance there will be a stench; instead of a belt, a rope; instead of styled hair, baldness; instead of fine clothing, sackcloth; instead of beauty, shame.
Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
25 Your men will fall by the sword, and your warriors in battle.
na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
26 And the gates of Zion will lament and mourn; destitute, she will sit on the ground.
Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.

< Isaiah 3 >