< Esther 10 >

1 Now King Xerxes imposed tribute throughout the land, even to its farthest shores.
Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
2 And all of Mordecai’s powerful and magnificent accomplishments, together with the full account of the greatness to which the king had raised him, are they not written in the Book of the Chronicles of the Kings of Media and Persia?
Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
3 For Mordecai the Jew was second only to King Xerxes, preeminent among the Jews and highly favored by his many kinsmen, seeking the good of his people and speaking peace to all his countrymen.
Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.

< Esther 10 >