< Song of Solomon 6 >
1 Where has thy beloved gone, O thou fairest among women? Where has thy beloved turned, that we may seek him with thee?
Mpenzi wako ameenda wapi, ulio mzuri miongoni mwa wanawake? Kwa njia gani mpenzi wako ameenda? ilitumtafute nawe? Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
2 My beloved has gone down to his garden, to the beds of spices, to feed in the gardens, and to gather lilies.
Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake, kwenye vitanda vya manukato, kwenda kula katika bustani na kukusanya nyinyoro.
3 I am my beloved's, and my beloved is mine. He feeds among the lilies.
Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; na kula katika nyinyoro kwa raha. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
4 Thou are fair, O my love, as Tirzah, comely as Jerusalem, sublime as an army with banners.
Wewe ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu, waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele.
5 Turn away thine eyes from me, for they have overcome me. Thy hair is as a flock of goats that lie along the side of Gilead.
Geuza macho yako mbali na mimi, kwa kuwa yana nizidi ukali. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likishuka chini kutoka miteremko ya Mlima Gileadi.
6 Thy teeth are like a flock of ewes, which have come up from the washing, of which every one has twins, and none is bereaved among them.
Meno yako ni kama kundi la kondoo likishuka kutoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja anapacha, na hamna ata mmoja aliyefiwa.
7 Thy temples are like a piece of a pomegranate behind thy veil.
Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso. Mpenzi wa mwanamke akizungumza peke yake
8 There are sixty queens, and eighty concubines, and virgins without number.
Kuna malikia sitini, masuria themanini, na wanawake wadogo bila idadi.
9 My dove, my undefiled, is but one. She is the only one of her mother. She is the choice one of her who bore her. The daughters saw her, and called her blessed, yea, the queens and the concubines, and they praised her.
Hua wangu, asiye na doa wangu, ni yeye pekee; ni binti muhimu wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wamalikia na masuria walimuona pia, na wakamsifu: Kile walicho sema wamalikia na masuria
10 Who is she who looks forth as the morning, fair as the moon, clear as the sun, sublime as an army with banners?
“Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha, mzuri kama mwezi, ana ng'aa kama jua, uamasisha kama bendera ya jeshi?” Mpenzi wa mwanamke akizungumza mwenyewe
11 I went down into the garden of nuts, to see the green plants of the valley, to see whether the vine budded, and the pomegranates were in flower.
Nimeenda kwenye kichaka cha miti ya milozi kuona mimea midogo ikikua bondeni, kuona kama mizabibu imechipua, na kama mikomamanga imestawi.
12 Before I was aware, my soul set me among the chariots of my princely people.
Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
13 Return, return, O Shulammite, return, return, that we may look upon thee. Why will ye look upon the Shulammite, as upon the dance of two armies?
Geuka nyuma, geuka nyuma, wewe mwanamke mkamilifu; geuka nyuma, geuka nyuma iliniweze kukushangaa. Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake Kwanini wanishangaa, mwanamke mkamilifu, kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji?