< Isaiah 7 >

1 And it came to pass in the days of Ahaz the son of Jotham, the son of Uzziah, king of Judah, that Rezin the king of Syria, and Pekah the son of Remaliah, king of Israel, went up to Jerusalem to war against it, but could not prevail against it.
Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
2 And it was told the house of David, saying, Syria is allied with Ephraim. And his heart trembled, and the heart of his people, as the trees of the forest tremble with the wind.
Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
3 Then Jehovah said to Isaiah, Go forth now to meet Ahaz, thou, and Shear-jashub thy son, at the end of the conduit of the upper pool, in the highway of the fuller's field.
Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
4 And say to him, Take heed, and be quiet. Fear not, nor let thy heart be faint, because of these two tails of smoking firebrands, for the fierce anger of Rezin and Syria, and of the son of Remaliah.
Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
5 Because Syria, Ephraim, and the son of Remaliah, have purposed evil against thee, saying,
Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
6 Let us go up against Judah, and vex it, and let us make a breach in it for us, and set up a king in the midst of it, even the son of Tabeel,
njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
7 thus says the lord Jehovah: It shall not stand, nor shall it come to pass.
Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
8 For the head of Syria is Damascus, and the head of Damascus is Rezin. And within sixty-five years Ephraim shall be broken in pieces, so that is shall not be a people.
maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
9 And the head of Ephraim is Samaria, and the head of Samaria is Remaliah's son. If ye will not believe, surely ye shall not be established.
Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
10 And Jehovah spoke again to Ahaz, saying,
Bwana akaongea tena na Ahazi,
11 Ask thee a sign of Jehovah thy God, ask it either in the depth, or in the height above. (Sheol h7585)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
12 But Ahaz said, I will not ask, nor will I test Jehovah.
Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
13 And he said, Hear ye now, O house of David. Is it a small thing for you to weary men, that ye will weary my God also?
Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
14 Therefore the Lord himself will give you a sign: Behold, a virgin shall conceive, and bear a son, and shall call his name Immanuel.
Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
15 Butter and honey shall he eat, when he knows to refuse the evil, and choose the good.
Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
16 For before the child shall know to refuse the evil, and choose the good, the land whose two kings thou abhor shall be forsaken.
Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
17 Jehovah will bring upon thee, and upon thy people, and upon thy father's house, days that have not come, from the day that Ephraim departed from Judah-even the king of Assyria.
Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
18 And it shall come to pass in that day, that Jehovah will whistle for the fly that is in the outermost part of the rivers of Egypt, and for the bee that is in the land of Assyria.
Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
19 And they shall come, and shall rest all of them in the desolate valleys, and in the clefts of the rocks, and upon all thorn-hedges, and upon all pastures.
Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
20 In that day the Lord will shave with a razor what is hired in the parts beyond the River, even with the king of Assyria, the head and the hair of the feet, and it shall also consume the beard.
Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
21 And it shall come to pass in that day, that a man shall keep alive a young cow and two sheep.
Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
22 And it shall come to pass, that because of the abundance of milk which they shall give he shall eat butter. For everyone who is left in the midst of the land shall eat butter and honey.
na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
23 And it shall come to pass in that day, that every place where there were a thousand vines at a thousand silver coins, shall be for briers and thorns.
Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
24 Men shall come there with arrows and with bow, because all the land shall be briers and thorns.
Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
25 And all the hills that were dug with the mattock, thou shall not come there for fear of briers and thorns, but it shall be for the sending forth of oxen, and for the treading of sheep.
Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo

< Isaiah 7 >