< Isaiah 57 >

1 The righteous man perishes, and no man lays it to heart. And merciful men are taken away; none considering that the righteous man is taken away from the evil.
Wenye waki watatoweka, lakini hakuna mtu atakayelitia maanani, na watu wa agano la kuaminika wamekusanyika mbali, lakini hakuna mtu anayefahamu kuwa wenye haki wamekusanyika mbali na maovu,
2 He enters into peace. They rest in their beds, each one who walks in his uprightness.
Wameingia katika amani; wamepumzika katika vitanda vyao, wale wanotembea katika haki.
3 But draw near here, ye sons of the sorceress, the seed of the adulterer and the harlot.
Lakini njooni hapa, enyi watoto wa wachawi, watoto wa wazinifu na mwanamke anayefanya ukahaba.
4 Against whom do ye sport yourselves, against whom ye make a wide mouth, and put out the tongue? Are ye not children of transgression, a seed of falsehood,
Ni nani mnayemfanyia mzaha? dhidi ya wale wanofungua midomo yao na kutoa nje ndimi zao? Je ninyi sio watoto wa uaasi, watoto wa uongo?
5 ye who inflame yourselves among the oaks, under every green tree, who kill the children in the valleys, under the clefts of the rocks?
Enyi unaowasha wenywe kwa kulala pamoja chini ya mualoni, kila chini ya mti mbichi, ewe unaeua watoto wako katika mabonde yaliyokauka, chini ya miamba inayoning'inia.
6 Among the smooth stones of the valley is thy portion. They, they are thy lot, even to them thou have poured a drink offering; thou have offered an oblation. Shall I be appeased for these things?
Miongoni mwa vitu vilaini katika bonde la mto ni mambo uliyopewa uyafanyie kazi. Ni vitu vya ibada yako. Umemwaga nje kinywaji chako kwao na kutoa sadaka ya mazao. Katika haya mambo Je ninaweza kuwa radhi na mambo haya?
7 Upon a high and lofty mountain thou have set thy bed. Thou also went up there to offer sacrifice.
Umeandaa kitanda chako juu ya mlima mrefu; pia umeeda pale juu kutoa sadaka.
8 And behind the doors and the posts thou have set up thy memorial. For thou have uncovered thyself to another than me, and have gone up. Thou have enlarged thy bed, and made thee a covenant with them. Thou loved their bed where thou saw it.
Nyuma ya mlango na mihimili ya milango umeweka ishara zako; umeniweka mimi furagha, umejifunua wewe mwenywe, na kwenda juu; umekifanya kitanda changu kuwa kikubwa. Umefanya agano na wao; ulipenda vitanda vyao; uliona sehemu zao za siri.
9 And thou went to the king with oil, and increased thy perfumes, and sent thine ambassadors far off, and debased thyself even to Sheol. (Sheol h7585)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
10 Thou were wearied with the length of thy way, yet thou did not say, It is in vain. Thou found a quickening of thy strength, therefore thou were not faint.
Ulichoka kwa safari yako ndefu, lakini haukusema, ''Haina matumaini.'' Umeyatafuta maisha katika mkono wako; Hivyo basi haukudhoofika.
11 And of whom have thou been afraid and in fear, that thou lie, and have not remembered me, nor laid it to thy heart? Have I not held my peace even of long time, and thou do not fear me?
Ni uliyemuogopa? Ni nani uliye muhofia zaidi ambaye aliyekufanya wewe kutenda udanganyifu, kwa wingi namna hiyo ambapo hauwezi kunikumbuka mimi au kufikiria kuhusu mimi? Maana nilikuwa kimya kwa mda mrefu, hauniogopi mimi tena.
12 I will declare thy righteousness. And as for thy works, they shall not profit thee.
Nitatangaza matendo haki yako na nitawaambia kila kitu ulichokifanya, lakini hawatakusaidia.
13 When thou cry, let those whom thou have gathered deliver thee. But the wind shall take them; a breath shall carry them all away. But he who takes refuge in me shall possess the land, and shall inherit my holy mountain.
Utakapolia nje, wacha sanamu ulizozikusnya zikusaidie wewe. Badala yake upepo utavipeperusha vyote, punzi itavipeperusha mbali. Lakini yeye anayenikimbilia mimi atairithi aridhi na atachukua umiliki katika mlima wangu mtakatifu.
14 And he will say, Cast ye up, cast ye up, prepare the way. Take up the stumbling-block out of the way of my people.
Atasema, 'Jenga, jenga! safisha njia! ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!''
15 For thus says the high and lofty One who inhabits eternity, whose name is Holy: I dwell in the high and holy place, also with him who is of a contrite and humble spirit, to revive the spirit of the humble, and to revive the heart of the contrite.
Maana yeye allye juu palipoinuka, anayeishi katika uzima wa milele, ambaye jina lake ni mtakatifu, asema hivi, ''Ninaishi mahali pa juu na mahali patakatifu pamoja na yeye pia aliyemnyenyekevu na moyo uliopondeka, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu na kufufua mioyo ya wanaojutia.
16 For I will not contend forever, nor will I always be angry, for the spirit would faint before me, and the souls that I have made.
Maana sitawahukumu milele, wala sitakuwa na hasira milele, Kisha roho ya mtu itazimia mbele yangu, maisha niliyowafanyia.
17 For the iniquity of his covetousness I was angry, and smote him. I hid my face and was angry, and he went on backsliding in the way of his heart.
Kwa sababu ya dhambi ya mapato ya vurugu zake, Nilipatwa na hasira, na nikamuadhibu yeye; niliuficha uso wangu, nilikuwa na hasira, lakini alirudi nyuma katika njia za moyo wake mwenyewe.
18 I have seen his ways, and will heal him. I will lead him also, and restore comforts to him and to his mourners.
Nimeziona njia zake, lakini nitamoponya yeye. Nitamuongoza yeye na kumfariji na kuwashauri wale wanomliliia yeye,
19 I create the fruit of the lips. Peace, peace, to him who is far off and to him who is near, says Jehovah, and I will heal him.
na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
20 But the wicked are like the troubled sea, for it cannot rest, and its waters cast up mire and dirt.
Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, haiwezi kutulia, na maji yake yametanda juu ya matope.
21 There is no peace, says my God, to the wicked.
Hakuna amani kwa wakosaji asema Mungu.''

< Isaiah 57 >