< 1 Kronieken 1 >
2 Kenan, Mahalal-el, Jered,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henoch, Methusalah, Lamech,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noach, Sem, Cham en Jafeth.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 De kinderen van Jafeth waren Gomer, en Magog, en Madai, en Javan, en Tubal, en Mesech, en Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 En de kinderen van Gomer waren Askenaz, en Difath, en Thogarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 En de kinderen van Javan waren Elisa en Tharsisa, de Chittieten en Dodanieten.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 De kinderen van Cham waren Cusch en Mitsraim, Put, en Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 En de kinderen van Cusch waren Seba, en Havila, en Sabta, en Raema, en Sabtecha; en de kinderen van Raema waren Scheba en Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cusch nu gewon Nimrod; die begon geweldig te zijn op aarde.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 En Mitsraim gewon de Ludieten, en de Anamieten, en de Lehabieten, en de Naftuchieten,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 En de Pathrusieten, en de Casluchieten, (van welke de Filistijnen zijn voortgekomen) en de Cafthorieten.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Kanaan nu gewon Sidon, zijn eerstgeborene, en Heth,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 En den Jebusiet, en den Amoriet, en den Girgasiet,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 En den Heviet, en den Arkiet, en den Siniet,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 En den Arvadiet, en den Zemariet, en den Hamathiet.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 De kinderen van Sem waren Elam, en Assur, en Arfachsad, en Lud, en Aram, en Uz, en Hul, en Gether, en Mesech.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arfachsad nu gewon Selah, en Selah gewon Heber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Aan Heber nu zijn twee zonen geboren; de naam des enen was Peleg, omdat in zijn dagen het aardrijk verdeeld is, en de naam zijns broeders was Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 En Joktan gewon Almodad, en Selef, en Hazarmaveth, en Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 En Hadoram, en Uzal, en Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 En Ebal, en Abimael, en Scheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 En Ofir, en Havila, en Jobab. Alle dezen waren zonen van Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arfachsad, Selah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
27 Abram; die is Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 De kinderen van Abraham waren Izak en Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Dit zijn hun geboorten: de eerstgeborene van Ismael was Nebajoth, en Kedar, en Adbeel, en Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Misma en Duma, Massa, Hadad en Thema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis, en Kedma; deze zijn de kinderen van Ismael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 De kinderen nu van Ketura, Abrahams bijwijf: die baarde Zimram, en Joksan, en Medan, en Midian, en Isbak, en Suah. En de kinderen van Joksan waren Scheba en Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 De kinderen van Midian nu waren Efa, en Efer, en Henoch, en Abida, en Eldaa. Die allen waren zonen van Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham nu gewon Izak. De zonen van Izak waren Ezau en Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 En de kinderen van Ezau: Elifaz, Rehuel, en Jehus, en Jaelam, en Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 De kinderen van Elifaz waren Theman, en Omar, Zefi, en Gaetham, Kenaz, en Timna, en Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 De kinderen van Rehuel waren Nahath, Zerah, Samma en Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 De kinderen van Seir nu waren Lotan, en Sobal, en Zibeon, en Ana, en Dison, en Ezer, en Disan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 De kinderen van Lotan nu waren Hori en Homam; en de zuster van Lotan was Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 De kinderen van Sobal waren Aljan, en Manahath, en Ebal, Sefi en Onam; en de kinderen van Zibeon waren Aja en Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 De kinderen van Ana waren Dison; en de zonen van Dison waren Hamram, en Esban, en Jithran, en Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 De kinderen van Ezer waren Bilhan, en Zaavan, en Jaakan. De kinderen van Disan waren Uz en Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Dit nu zijn de koningen, die geregeerd hebben in het land van Edom, eer er een koning regeerde over de kinderen Israels: Bela, de zoon van Beor; en de naam zijner stad was Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 En Bela stierf, en Jobab regeerde in zijn plaats, een zoon van Zerah, van Bozra.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 En Jobab stierf, en Husam, uit het land der Themanieten, regeerde in zijn plaats.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 En Husam stierf, en Hadad, de zoon van Bedad, regeerde in zijn plaats, die de Midianieten in het veld van Moab versloeg; en den naam zijner stad was Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 En Hadad stierf, en Samla, van Masreka, regeerde in zijn plaats.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 En Samla stierf, en Saul, van Rehoboth aan de rivier, regeerde in zijn plaats.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 En Saul stierf, en Baal-Hanan, de zoon van Achbor, regeerde in zijn plaats.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Als Baal-Hanan stierf, zo regeerde Hadad in zijn plaats, en de naam zijner stad was Pahi, en de naam zijner huisvrouw was Mehetabeel, de dochter van Matred, dochter van Mee-Sahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Toen Hadad stierf, zo werden vorsten in Edom: de vorst Timna, de vorst Alja, de vorst Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 De vorst Aholibama, de vorst Ela, de vorst Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 De vorst Kenaz, de vorst Theman, de vorst Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 De vorst Magdiel, de vorst Iram. Dezen waren de vorsten van Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.