< Spreuken 7 >
1 Mijn zoon, bewaar mijn redenen, en leg mijn geboden bij u weg.
Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
2 Bewaar mijn geboden, en leef, en mijn wet als den appel uwer ogen.
Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3 Bind ze aan uw vingeren, schrijf ze op de tafels uws harten.
Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4 Zeg tot de wijsheid: Gij zijt mijn zuster; en heet het verstand uw bloedvriend;
Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5 Opdat zij u bewaren voor een vreemde vrouw, voor de onbekende, die met haar redenen vleit.
ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6 Want door het venster van mijn huis, door mijn tralie keek ik uit;
Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 En ik zag onder de slechten; ik merkte onder de jonge gezellen een verstandelozen jongeling;
Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 Voorbijgaande op de straat, nevens haar hoek, en hij trad op den weg van haar huis.
Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 In de schemering, in den avond des daags, in den zwarten nacht en de donkerheid;
Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 En ziet, een vrouw ontmoette hem in hoerenversiersel, en met het hart op haar hoede;
Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 Deze was woelachtig en wederstrevig, haar voeten bleven in haar huis niet;
Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Nu buiten, dan op de straten zijnde, en bij alle hoeken loerende;
Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 En zij greep hem aan, en kuste hem; zij sterkte haar aangezicht, en zeide tot hem:
Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14 Dankoffers zijn bij mij, ik heb heden mijn geloften betaald;
leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15 Daarom ben ik uitgegaan u tegemoet, om uw aangezicht naarstiglijk te zoeken, en ik heb u gevonden.
hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16 Ik heb mijn bedstede met tapijtsieraad toegemaakt, met uitgehouwen werken, met fijn linnen van Egypte;
Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 Ik heb mijn leger met mirre, aloe en kaneel welriekende gemaakt;
Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Kom, laat ons dronken worden van minnen tot den morgen toe; laat ons ons vrolijk maken in grote liefde.
Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Want de man is niet in zijn huis, hij is een verren weg getogen;
Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 Hij heeft een bundel gelds in zijn hand genomen; ten bestemden dage zal hij naar zijn huis komen.
Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 Zij bewoog hem door de veelheid van haar onderricht, zij dreef hem aan door het gevlei harer lippen.
katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 Hij ging haar straks achterna, gelijk een os ter slachting gaat, en gelijk een dwaas tot de tuchtiging der boeien.
Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23 Totdat hem de pijl zijn lever doorsneed; gelijk een vogel zich haast naar den strik, en niet weet, dat dezelve tegen zijn leven is.
mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24 Nu dan, kinderen, hoort naar mij, en luistert naar de redenen mijns monds.
Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25 Laat uw hart tot haar wegen niet wijken, dwaalt niet op haar paden.
Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26 Want zij heeft veel gewonden nedergeveld, en al haar gedoden zijn machtig vele.
Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27 Haar huis zijn wegen des grafs, dalende naar de binnenkameren des doods. (Sheol )
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )