< Spreuken 6 >
1 Mijn zoon! zo gij voor uw naaste borg geworden zijt, voor een vreemde uw hand toegeklapt hebt;
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 Gij zijt verstrikt met de redenen uws monds; gij zijt gevangen met de redenen uws monds.
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 Doe nu dit, mijn zoon! en red u, dewijl gij in de hand uws naasten gekomen zijt; ga, onderwerp uzelven, en sterk uw naaste.
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 Laat uw ogen geen slaap toe, noch uw oogleden sluimering;
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 Red u, als een ree uit de hand des jagers, en als een vogel uit de hand des vogelvangers.
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 Ga tot de mier, gij luiaard! zie haar wegen, en word wijs;
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Dewelke, geen overste, ambtman noch heerser hebbende,
Hana akida, afisa au mtawala,
8 Haar brood bereidt in den zomer, haar spijs vergadert in den oogst.
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Hoe lang zult gij, luiaard, nederliggen? Wanneer zult gij van uw slaap opstaan?
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Een weinig slapens, een weinig sluimerens, een weinig handvouwens, al nederliggende;
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 Zo zal uw armoede u overkomen als een wandelaar, en uw gebrek als een gewapend man.
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 Een Belialsmens, een ondeugdzaam man gaat met verkeerdheid des monds om;
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 Wenkt met zijn ogen, spreekt met zijn voeten, leert met zijn vingeren;
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 In zijn hart zijn verkeerdheden, hij smeedt te aller tijd kwaad; hij werpt twisten in.
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 Daarom zal zijn verderf haastelijk komen; hij zal schielijk verbroken worden, dat er geen genezen aan zij.
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 Deze zes haat de HEERE; ja, zeven zijn Zijn ziel een gruwel:
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
17 Hoge ogen, een valse tong, en handen, die onschuldig bloed vergieten;
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
18 Een hart, dat ondeugdzame gedachten smeedt; voeten, die zich haasten, om tot kwaad te lopen;
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
19 Een vals getuige, die leugenen blaast; en die tussen broederen krakelen inwerpt.
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 Mijn zoon, bewaar het gebod uws vaders, en verlaat de wet uwer moeder niet.
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 Bind ze steeds aan uw hart, hecht ze aan uw hals.
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 Als gij wandelt, zal dat u geleiden; als gij nederligt, zal het over u de wacht houden; als gij wakker wordt, zal hetzelve met u spreken.
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 Want het gebod is een lamp, en de wet is een licht, en de bestraffingen der tucht zijn de weg des levens;
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 Om u te bewaren voor de kwade vrouw, voor het gevlei der vreemde tong.
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 Begeer haar schoonheid niet in uw hart, en laat ze u niet vangen met haar oogleden.
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 Want door een vrouw, die een hoer is, komt men tot een stuk broods; en eens mans huisvrouw jaagt de kostelijke ziel.
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 Zal iemand vuur in zijn boezem nemen, dat zijn klederen niet verbrand worden?
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 Zal iemand op kolen gaan, dat zijn voeten niet branden?
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 Alzo die tot zijns naasten huisvrouw ingaat; al wie haar aanroert, zal niet onschuldig gehouden worden.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 Men doet een dief geen verachting aan, als hij steelt om zijn ziel te vullen, dewijl hij honger heeft;
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 En gevonden zijnde, vergeldt hij het zevenvoudig; hij geeft al het goed van zijn huis.
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 Maar die met een vrouw overspel doet, is verstandeloos; hij verderft zijn ziel, die dat doet;
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 Plage en schande zal hij vinden, en zijn smaad zal niet uitgewist worden.
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 Want jaloersheid is een grimmigheid des mans; en in den dag der wraak zal hij niet verschonen.
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 Hij zal geen verzoening aannemen; en hij zal niet bewilligen, ofschoon gij het geschenk vergroot.
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.