< Jozua 12 >

1 Dit nu zijn de koningen des lands, die de kinderen Israels geslagen hebben, en hun land erfelijk bezaten, aan gene zijde van de Jordaan, tegen den opgang der zon; van de beek Arnon af tot den berg Hermon, en het ganse vlakke veld tegen het oosten:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sihon, de koning der Amorieten, die te Hesbon woonde; die van Aroer af heerste, welke aan den oever der beek Arnon is, en over het midden der beek en de helft van Gilead, en tot aan de beek Jabbok, de landpale der kinderen Ammons;
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 En over het vlakke veld tot aan de zee van Cinneroth tegen het oosten, en tot aan de zee des vlakken velds, de Zoutzee, tegen het oosten, op den weg naar Beth-Jesimoth; en van het zuiden beneden Asdoth-Pisga.
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 Daartoe de landpale van Og, den koning van Bazan, die van het overblijfsel der reuzen was, wonende te Astharoth en te Edrei.
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 En heerste over den berg Hermon, en over Salcha, en over geheel Bazan, tot aan de landpale der Gezurieten, en der Maachathieten; en de helft van Gilead, de landpale van Sihon, den koning van Hesbon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Mozes, de knecht des HEEREN, en de kinderen Israels sloegen hen, en Mozes, de knecht des HEEREN, gaf aan de Rubenieten en aan de Gadieten, en aan den halven stam van Manasse, dat land tot een erfelijke bezitting.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 Dit nu zijn de koningen des lands, die Jozua sloeg, en de kinderen Israels, aan deze zijde van de Jordaan tegen het westen, van Baal-Gad aan, in het dal van den Libanon, en tot aan den kalen berg, die naar Seir opgaat; en Jozua gaf het aan de stammen Israels tot een erfelijke bezitting, naar hun afdelingen.
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 Wat op het gebergte, en in de laagte, en in het vlakke veld, en in de aflopingen der wateren, en in de woestijn, en tegen het zuiden was: de Hethieten, de Amorieten, en Kanaanieten, de Ferezieten, de Hevieten, en de Jebusieten.
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 De koning van Jericho, een; de koning van Ai, die ter zijde van Beth-El is, een;
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 De koning van Jeruzalem, een; de koning van Hebron, een;
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 De koning van Jarmuth, een; de koning van Lachis, een;
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 De koning van Eglon, een; de koning van Gezer, een;
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 De koning van Debir, een; de koning van Geder, een;
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 De koning van Horma, een; de koning van Harad, een;
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 De koning van Libna, een; de koning van Adullam, een;
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 De koning van Makkeda, een; de koning van Beth-El, een;
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 De koning van Tappuah, een; de koning van Hefer, een;
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 De koning van Afek, een; de koning van Lassaron, een;
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 De koning van Madon, een; de koning van Hazor, een;
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 De koning van Simron-Meron, een; de koning van Achsaf, een;
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 De koning van Taanach, een; de koning van Megiddo, een;
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 De koning van Kedes, een; de koning van Jokneam, aan den Karmel, een;
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 De koning van Dor, tot Nafath-Dor, een; de koning der heidenen te Gilgal, een;
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 De koning van Thirza, een. Al deze koningen zijn een en dertig.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Jozua 12 >