< Job 29 >

1 En Job ging voort zijn spreuk op te heffen, en zeide:
Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 Och, of ik ware, gelijk in de vorige maanden, gelijk in de dagen, toen God mij bewaarde!
“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
3 Toen Hij Zijn lamp deed schijnen over mijn hoofd, en ik bij Zijn licht de duisternis doorwandelde;
wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
4 Gelijk als ik was in de dagen mijner jonkheid, toen Gods verborgenheid over mijn tent was;
Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
5 Toen de Almachtige nog met mij was, en mijn jongens rondom mij;
wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
6 Toen ik mijn gangen wies in boter, en de rots bij mij oliebeken uitgoot;
wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
7 Toen ik uitging naar de poort door de stad, toen ik mijn stoel op de straat liet bereiden.
“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
8 De jongens zagen mij, en verstaken zich, en de stokouden rezen op en stonden.
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9 De oversten hielden de woorden in, en leiden de hand op hun mond.
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10 De stem der vorsten verstak zich, en hun tong kleefde aan hun gehemelte.
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
11 Als een oor mij hoorde, zo hield het mij gelukzalig; als mij een oog zag, zo getuigde het van mij.
Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
12 Want ik bevrijdde den ellendige, die riep, en den wees, die geen helper had.
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
13 De zegen desgenen, die verloren ging, kwam op mij; en het hart der weduwe deed ik vrolijk zingen.
Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
14 Ik bekleedde mij met gerechtigheid, en zij bekleedde mij; mijn oordeel was als een mantel en vorstelijke hoed.
Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
15 Den blinden was ik tot ogen, en den kreupelen was ik tot voeten.
Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
16 Ik was den nooddruftigen een vader; en het geschil, dat ik niet wist, dat onderzocht ik.
Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
17 En ik verbrak de baktanden des verkeerden, en wierp den roof uit zijn tanden.
Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
18 En ik zeide: Ik zal in mijn nest den geest geven, en ik zal de dagen vermenigvuldigen als het zand.
“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
19 Mijn wortel was uitgebreid aan het water, en dauw vernachtte op mijn tak.
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
20 Mijn heerlijkheid was nieuw bij mij, en mijn boog veranderde zich in mijn hand.
Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
21 Zij hoorden mij aan, en wachtten, en zwegen op mijn raad.
“Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
22 Na mijn woord spraken zij niet weder, en mijn rede drupte op hen.
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
23 Want zij wachtten naar mij, gelijk naar den regen, en sperden hun mond open, als naar den spaden regen.
Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
24 Lachte ik hun toe, zij geloofden het niet; en het licht mijns aangezichts deden zij niet nedervallen.
Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
25 Verkoos ik hun weg, zo zat ik bovenaan, en woonde als een koning onder de benden, als een, die treurigen vertroost.
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.

< Job 29 >