< Psalmen 20 >

1 Voor muziekbegeleiding. Een psalm van David. Moge Jahweh op de dag van nood u verhoren, De naam van Jakobs God u beschermen,
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Uit het heiligdom u hulp verlenen, En uit Sion u bijstaan.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Hij gedenke al uw offergaven, En neme genadig uw brandoffers aan;
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Hij schenke u wat uw hart maar begeert, En doe al uw plannen gelukken.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Dan zullen wij om uw zegepraal juichen, In de Naam van onzen God de feestbanier heffen!
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Nu reeds ben ik er zeker van, Dat Jahweh zijn Gezalfde de zegepraal schenkt, En Hem uit zijn heilige hemel verhoort Door de reddende kracht van zijn rechterhand.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Anderen gaan trots op wagens en paarden, Wij op de Naam van Jahweh, onzen God;
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Maar zìj storten neer, en blijven liggen, Wij rijzen op en staan vast!
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Jahweh, geef den Koning de zege, En verhoor nog heden ons smeekgebed!
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psalmen 20 >