< Psalmen 149 >

1 Halleluja! Zingt een nieuw lied ter ere van Jahweh, Zijn lof in de gemeenschap der vromen.
Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
2 Laat Israël zich in zijn Schepper verheugen, Sions kinderen zich in hun Koning verblijden;
Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
3 Zijn Naam met reidansen vieren, Hem verheerlijken met pauken en citer!
Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
4 Want Jahweh heeft zijn volk begenadigd, De verdrukten met zege gekroond;
Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
5 Laat de vromen nu hun krijgsroem bezingen, En jubelen over hun wapens:
Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
6 Met Gods lof in hun keel, En een tweesnijdend zwaard in hun hand!
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
7 Zich op de heidenen wreken, De volken richten,
ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
8 Hun koningen in ketenen slaan, Hun vorsten in ijzeren boeien,
wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
9 Aan hen het vonnis voltrekken, zoals het geveld is: Dìt is de glorie van al zijn vromen! Halleluja!
ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.

< Psalmen 149 >