< Psalmen 129 >

1 Een bedevaartslied. Van jongs af heeft men wreed mij mishandeld, Mag Israël wel zeggen;
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2 Mij hardvochtig gekweld sinds mijn jeugd, Maar nooit mij gebroken.
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
3 Ploegers hebben mijn rug beploegd, En lange voren getrokken;
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
4 Maar Jahweh bleef trouw: De riemen der bozen sneed Hij stuk.
Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
5 Beschaamd moeten vluchten Alle haters van Sion.
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
6 Ze zullen worden als gras op de daken, Dat vóór het opschiet, verdort;
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
7 Waarmee geen maaier zijn hand kan vullen, Geen hooier zijn arm.
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8 En niemand zal in het voorbijgaan zeggen: "De zegen van Jahweh over u; Wij zegenen u in Jahweh’s Naam!"
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”

< Psalmen 129 >