< Psalmen 120 >
1 Een bedevaartslied. Tot Jahweh riep ik in mijn nood, En Hij heeft mij verhoord.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Verlos mij, Jahweh, van leugenlippen En lastertongen!
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Wat kan een lastertong u al brengen, En wat er nog bij doen:
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Scherpgepunte oorlogspijlen, Met gloeiende houtskool!
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Wee mij, dat ik moet toeven In de tenten van Mésjek, En dat ik moet wonen In de tenten van Kedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Reeds te lang leef ik samen Met vredeverstoorders;
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Als ìk over vrede wil spreken, Zoeken zij strijd!
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.