< Spreuken 9 >

1 De wijsheid heeft zich een huis gebouwd, Haar zeven zuilen opgericht,
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 Haar vee geslacht, haar wijn gemengd, Haar dis ook bereid.
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 Nu laat ze haar dienstmaagden noden Op de hoogste punten der stad:
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 Wie onervaren is, kome hierheen, Wie onverstandig is, tot hem wil ik spreken.
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 Komt, eet van mijn spijzen, En drinkt van de wijn die ik mengde;
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Laat de onnozelheid varen, opdat gij moogt leven, Betreedt de rechte weg van het verstand!
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Wie een spotter vermaant, berokkent zich schande, En wie een booswicht bestraft, op hem komt een smet.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Ge moet geen spotter bestraffen, hij zal u erom haten, Bestraf een wijze, hij zal er u dankbaar voor zijn.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Deel mee aan een wijze: hij wordt nog wijzer, Onderricht een rechtvaardige: hij zal zijn inzicht verdiepen.
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 Ontzag voor Jahweh is de grondslag der wijsheid, Den Heilige kennen is inzicht.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Want door Jahweh worden uw dagen vermeerderd. Worden jaren van leven u toegevoegd.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Zijt ge wijs, ge zijt wijs tot uw eigen voordeel; Zijt ge eigenwijs, gij alleen moet ervoor boeten!
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 De dwaasheid is een wispelturige vrouw, Een verleidster, die geen schaamte kent.
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 Ze zit aan de deur van haar huis, In een zetel op de hoogten der stad;
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 Zij nodigt de voorbijgangers uit, Hen die recht huns weegs willen gaan:
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 Wie onervaren is, kome hierheen, Wie onverstandig is, tot hem wil ik spreken!
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 Gestolen water is zoet, Heimelijk gegeten brood smaakt lekker!
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 Maar men vermoedt niet, dat de schimmen daar wonen, Dat haar gasten diep in het dodenrijk komen! (Sheol h7585)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Spreuken 9 >