< Jozua 12 >

1 Dit zijn de koningen van het land aan de oostzijde van de Jordaan, die de Israëlieten verslagen hebben, en van wier land ze zich hebben meester gemaakt: van de beek Arnon tot het Hermongebergte, met de gehele oostelijke Araba.
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Vooreerst Sichon, de koning der Amorieten. Hij woonde in Chesjbon, en heerste over de streek van Aroër af, aan de oever van de beek Arnon, halverwege die beek; over de helft van Gilad, tot de beek Jabbok, de grens van het land der Ammonieten;
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 verder over de Araba, tot aan de oostkant van het meer van Gennezaret, en tot de oostkant van het meer van de Araba, van de Zoutzee namelijk in de richting van Bet-Hajjesjimot en aan de voet der hellingen van de Pisga ten zuiden.
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 Vervolgens Og, de koning van Basjan, één der overgeblevenen van de Refaieten. Hij woonde in Asjtarot en Edréi,
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 en heerste over het Hermongebergte, en te Salka, over heel Basjan, tot aan het gebied der Gesjoerieten en Maäkatieten, en over half Gilad tot aan het gebied van Sichon, den koning van Chesjbon.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 Moses, de dienaar van Jahweh, en de Israëlieten hadden ze verslagen, waarna Moses, de dienaar van Jahweh, het land in bezit had gegeven aan de Rubenieten, de Gadieten en aan de helft van de stam van Manasse.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 En dit zijn de koningen, die Josuë met de Israëlieten aan de andere kant, westelijk van de Jordaan, heeft verslagen, van Báal-Gad af, in de Libanonvlakte, tot het Chalakgebergte, dat naar Seïr oploopt; en wier land Josuë aan de Israëlieten, over hun stammen verdeeld, ten bezit heeft gegeven
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 in het bergland, de Sjefela, de Araba, op de hellingen, in de woestijn en in de Négeb: de koningen van de Chittieten, Amorieten, Kanaänieten, Perizzieten, Chiwwieten en Jeboesieten;
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 de koning van Jericho, de koning van Ai in de buurt van Betel,
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 de koning van Jerusalem, de koning van Hebron.
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 de koning van Jarmoet, de koning van Lakisj,
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 de koning van Eglon, de koning van Gézer,
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 de koning van Debir, de koning van Géder,
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 de koning van Chorma, de koning van Arad,
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 de koning van Libna, de koning van Adoellam,
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 de koning van Makkeda, de koning van Betel,
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 de koning van Tappóeach, de koning van Chéfer,
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 de koning van Afek, de koning van Sjaron,
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 de koning van Madon, de koning van Chasor,
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 de koning van Sjimron, de koning van Aksjaf,
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 de koning van Taänak, de koning van Megiddo,
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 de koning van Kédesj, de koning van Jokneam op de Karmel,
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 de koning van Dor in het heuvelland van Dor, de koning van het volk van Gilgal,
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 de koning van Tirsa; in het geheel een en dertig koningen.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Jozua 12 >