< Job 5 >

1 Roep maar: er is niemand, die u antwoord geeft; Tot wien van de heiligen wilt ge u wenden?
“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?
2 Het is dus de wrevel, die den dwaas vermoordt, De gramschap doodt dus den zot.
Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.
3 Ik heb den dwaas wel wortel zien schieten, Maar plotseling verrotte zijn akker;
Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.
4 Zijn kinderen werden van hulp verstoken, Reddeloos vertrapt in de poort;
Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.
5 Wat zij hebben geoogst, eet een hongerige op, En de dorstige rooft en drinkt de melk van hun kudde
Wenye njaa huyala mavuno yake, wakiyatoa hata katikati ya miiba, nao wenye kiu huitamani sana mali yake.
6 Want het kwaad schiet niet op uit het stof, En de rampspoed ontspruit uit de aarde niet:
Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.
7 Maar het is de mens, die zichzelf de rampspoed verwekt, Zoals de vonken naar boven spatten!
Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.
8 Ik, ik wend mij tot God, En leg mijn zaak aan de Godheid voor:
“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu, ningeliweka shauri langu mbele zake.
9 Hij, die grootse en ondoorgrondelijke dingen wrocht En ontelbare wonderen;
Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.
10 Die regen over de aarde zendt, En water over de velden giet;
Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.
11 Die de nederigen op de hoogte verheft, En treurenden het hoogste geluk doet smaken.
Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.
12 Die de plannen der sluwen verijdelt, Zodat hun handen de ontwerpen niet ten uitvoer brengen;
Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi.
13 Die de wijzen vangt in hun eigen list, Zodat de toeleg der slimmen mislukt,
Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.
14 En midden op de dag zij op duisternis stuiten, En rondtasten op klaarlichte dag, zoals in de nacht;
Giza huwapata wakati wa mchana; wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.
15 Maar die de geplaagden redt uit hun hand, Den arme uit de greep van den sterke:
Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.
16 Zodat er weer hoop voor den zwakke is, En het onrecht de mond sluit.
Kwa hiyo maskini analo tarajio, nao udhalimu hufumba kinywa chake.
17 Gelukkig, gij mens, dien God kastijdt: Versmaad dus de straf van den Almachtige niet!
“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.
18 Want Hij wondt, maar verbindt, Hij kwetst, maar zijn handen genezen.
Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya.
19 Uit zes noden zal Hij u redden, En in de zevende treft u geen kwaad:
Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.
20 In hongersnood redt Hij u van de dood, In de oorlog uit de greep van het zwaard;
Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.
21 Gij zijt veilig voor de gesel der tong, Zonder vrees voor het dreigend geweld.
Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.
22 Met geweld en gebrek zult ge lachen, Voor wilde beesten niet vrezen:
Utayacheka maangamizo na njaa, wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa wanyama wakali wa mwituni.
23 Want ge hebt een verbond met de stenen op het veld, En het wild gedierte leeft in vriendschap met u
Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba, nao wanyama wa mwitu watakuwa na amani nawe.
24 Dan weet ge, dat uw tent in vrede is, Ge niets vermist, als ge uw woning doorzoekt;
Utajua ya kwamba hema lako li salama; utahesabu mali zako wala hutakuta chochote kilichopungua.
25 Dan weet ge, dat uw nageslacht talrijk zal zijn, Uw spruiten als het gras op het veld.
Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi, nao wazao wako wengi kama majani ya nchi.
26 Eerst in uw ouderdom daalt ge ten grave, Zoals de schoof wordt binnengehaald, als het tijd is!
Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu, kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa wakati wake.
27 Zie, dit hebben we nagespeurd, en zó is het; Luister er naar, en neem het ter harte!
“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli. Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”

< Job 5 >