< 1 Kronieken 8 >
1 Benjamin verwekte Béla, zijn eerstgeborene, Asj-bel als tweede, Achrach als derde.
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Nocha als vierde, Rafa als vijfde.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Béla had de volgende kinderen: Addar, Gera, Abihoed,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisjóea, Naäman en Achóach.
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sjefoefam en Choeram
Gera, Shefufani na Huramu.
6 waren zonen van Echoed; ze waren familiehoofden van de bewoners van Géba, en werden verbannen naar Manáchat.
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Het was Gera met Naäman en Achi-ja, die ze verbande. Gera verwekte Oezza en Achihoed.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Sjacharáim verwekte in de velden van Moab, nadat hij zijn vrouwen Choesjim en Baraä had weggezonden,
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 bij zijn vrouw Chódesj: Jobab, Sibja, Mesja, Malkam,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeoes, Sakeja en Mirma; dit waren zijn zonen, allen familiehoofden.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Van Choesjim had hij Abitoeb en Elpáal gekregen.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 De zonen van Elpáal waren: Éber, Misjam en Sjemed; dezen bouwden Ono en Loed met bijbehorende plaatsen.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Beria en Sjéma waren de familiehoofden van de bewoners van Ajjalon. Zij joegen de bewoners van Gat op de vlucht;
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 hun broeders heetten Elpáal, Sjasjak en Jerimot.
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
16 Mikaël, Jisjpa en Jocha waren zonen van Beria.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Zebadja, Mesjoellam, Chizki, Cheber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Jisjmerai, Jizlia en Jobab waren zonen van Elpáal.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
20 Eliënai, Silletai, Eliël,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaja, Beraja en Sjimrat waren zonen van Sjimi.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
24 Chananja, Elam, Antoti-ja,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Jifdeja en Penoeël waren zonen van Sjasjak.
Ifdeya na Penueli.
26 Sjamsjerai, Sjecharja, Atalja,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jaäresjja, Eli-ja en Zikri waren zonen van Jerocham.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Dit waren de familiehoofden naar hun geslachten, die in Jerusalem woonden.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 In Gibon woonde de stamvader van Gibon; zijn vrouw heette Maäka.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Zijn oudste zoon was Abdon; verder Soer, Kisj, Báal, Ner, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Achjo, Zéker en Miklot.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Miklot verwekte Sjima; ook dezen woonden bij hun stamgenoten in Jerusalem, in hun nabijheid.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner verwekte Kisj; Kisj verwekte Saul; Saul verwekte Jonatan, Malkisjóea, Abinadab en Esjbáal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 De zoon van Jonatan was Merib-Báal; Merib-Báal verwekte Mika.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 De zonen van Mika waren: Piton, Mélek, Taréa en Achaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Achaz verwekte Jehoadda; Jehoadda verwekte Alémet, Azmáwet en Zimri; Zimri verwekte Mosa;
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Mosa verwekte Bina. Diens zoon was Rafa; die van Rafa was Elasa; die van Elasa was Asel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Asel had zes kinderen, die aldus heetten: Azrikam, Bokeroe, Jisjmaël, Sjearja, Obadja en Chanan; allen zonen van Asel.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 De zonen van zijn broer Ésjek waren Oelam de oudste, Jeöesj de tweede en Elifélet de derde.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 De zonen van Oelam waren dappere mannen, die de boog konden spannen en veel kinderen en kleinkinderen hadden, wel honderd vijftig. Dit waren allemaal afstammelingen van Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.