+ Mateyo 1 >
1 Ibbuku lyabansiku ba Jesu Kkilisito, mwana wakwe Devidi, mwana wakwe Abbulahamu.
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
2 Abbulahamu wakali wisi wa Ayizeki, alakwe Ayizeki wisi wa Jakobu, alakwe Jakobo wisi wa Juda abakulana bakwe.
Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka, na Isaka baba wa Yakobo, na Yakobo baba wa Yuda na ndugu zake.
3 Juda wakali wisi wa Pelezi a Zela kuli Tamala, Pelezi wisi Hezelani alakwe Hezelani wisi wa Lamu.
Yuda alikuwa baba wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi baba wa Hezeroni, na Hezeroni baba wa Ramu.
4 Lamu wakali wisi wa Aminadabbu, Aminadabbu wisi wa Nasoni, alakwe Nasoni wisi wa Salumoni.
Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
5 Salumoni wakali wisi wa Bbowazi kuli Lahabbu, Bbowazi wisi wa Obbedi kuli Lute, Obbedi wisi wa Jese.
Salimoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi baba wa Obedi kwa Ruth, Obedi baba wa Yese,
6 Jese wakali wisi wa Mwami Devidi Mwami, Devidi wisi wa Solomoni kuli muka Uliya.
Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
7 Solomoni wakali wisi wa Lehobbowamu, Lehobbowamu wisi wa Abbija, Abbija wisi wa Asa.
Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
8 Asa wakali wisi wa Jehosiafati, Jehosiafati wisi wa Jolamu, alakwe Jolamu ngusikale wa Uziya.
Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
9 Uziya wakali wisi wa Jotamu, Jotamu wisi wa Ahazi, Ahazi wisi wa Hezekkiya.
Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
10 Hezekkiya wakali wisi wa Manase, Manase wisi wa Amoni, alakwe Amoni wisi wa Josiya.
Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
11 Josiya wakali sikale wa Jekoniya antomwe abakulana bakwe kuchindi chakutolwa kubuzike ku Bbabbiloni.
Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.
12 Musule lyakulonzegwa kutolwa ku Bbabbiloni, Jekoniya wakali wisi wa Sialitiyeli, Sialitiyeli wakali sikale wa Zelubbabbeli.
Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
13 Zelubbabbeli wakali wisi wa Abbiyudi, Abbiyudi wisi wa Eliyakkimu, alakwe Eliyakkimu wisi wa Azola.
Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
14 Azola wakali wisi wa Zadoki, Zadoki wisi wa Akkimu, alakwe Akkimu wisi wa Eliyudi.
Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
15 Eliyudi wakali wisi wa Eliyazali wisi wa Matani, alakwe Matani wisi wa Jakobo.
Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
16 Jakobo wakali wisi wa Josefa mulumi wa Meli, oyo wakazyala Jesu ooyo utegwa Kkilisito.
Yakobo alikuwa baba wa Yusufu mume wa Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa, aitwaye Kristo.
17 Woonse mazyalani kuzwa kuli Abbulahamu kusika kuli Devidi akali mazyalane ali ikkumi aane, kuzwa kuli Devidi kusika kukulonzegwa kwabo kutolwa ku Bbabiloni mazyalane ali ikkumi aane, alimwi kuzwa kukulonzegwa kutolwa ku Bbabbiloni kusikila kuli Kkilisito mazyalane ali kkumi aane.
Vizazi vyote tangu Ibrahimu hadi Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, kutoka Daudi hadi kuchukuliwa kwenda Babeli vizazi kumi na vinne, na kutoka kuchukuliwa kwenda Babeli hadi Kristo vizazi kumi na vinne.
18 Kuzyalwa kwa Jesu Kkilisito kwaka chitika munzila itobela. Banyina, Meli bakatangilwakuti bakwatwe a Jozefu, pesi kabatana kuswanana, wakajanika kuti wakali mintide kumuuya uusalala.
Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa kwa namna hii. Mama yake, Mariamu, alichumbiwa na Yusufu, lakini kabla hawajakutana, alionekana kuwa na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
19 Pesi Jozefu, mulumi wakwe, wakali mwalumi ululeme alimwi tewakayanda kumufwisya bweeme pe chaantanganana, aboobo wakayeya kumuleka chuumunizi akusiya chizuminano chabo.
Mume wake Yusufu, alikuwa mtu mwenye haki hakutaka kumwaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba wake naye kwa siri.
20 Awo mpakali kuyeeya ezi zintu, mungelo wa Mwami wakaboneka kulinguwe muchiloto, waamba kuti, “Jozefu mwana wa Devidi, utayowi pe kubweza Meli kuti abe mwanakazi wako, nkambo oyo umintidwe mulinguwe umintidwe a Muuya Uusalala.
Alipokuwa akifikiri juu ya mambo haya, Malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema,'' Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu kama mkeo, kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 Uyozyala mwana mulombe, alimwi uyomuzika izina lyakuti ngu Jesu, nkambo uyofutula bantu bakwe kuzwa kuzibi zyabo.”
Atajifungua mtoto wa kiume na utamwita jina lake Yesu, kwa maana atawaokoa watu wake na dhambi zao.''
22 Zyonseezi zyakachitika kuzuzikizya zyakaambwa a Mwami kwinda kubasinsiimi, wamba wati,
Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema,
23 “Amubone, ooyo musimbi uzominta uzotumbuka mwana mulombe, mpawo izina lyakwe bazomuzika kuti ngu Imanuwele” - elyo lipandululwa kutegwa, “Leza ulandiswe.
“Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli”— maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
24 Jozefu wakabuka kuzwa kukoona kwakwe wachita mbuli mungelo wa Mwami mbakamulayilila, mpawo wakamubweza waba mwanakazi wakwe.
Yusufu aliamka kutoka usingizini na kufanya kama malaika wa Bwana alivyomwamuru na alimchukua kama mkewe.
25 Pesi takwepe nakamuziba kusika watumbuka mwana mulombe. Elyo wakamuzika izina kuti ngu Jesu.
Hata hivyo, hakulala naye mpaka alipojifungua mtoto wa kiume na alimwita jina lake Yesu.