< Wer Mamit 1 >
1 Wer mamit moloyo wende moko nondiki gi ruoth Solomon.
Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
2 Bi mondo inyodha gi dhogi, nikech herani kelo mor moloyo divai.
O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
3 Modhi miwirorigo dungʼ mamit; kendo nyingi chalo gi mo mangʼwe ngʼar ma pukore oko. Kare mano emomiyo nyiri duto oheri!
Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
4 Kawa idhi koda, waret piyo waa kae! Ruoth mondo odhi koda nyaka ei ode maiye. Osiepe Wail kendo chunywa mor kodi; wabiro pako herani moloyo divai. Nyako Gitimo gima kare ka gipuoyi!
Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
5 An nyako ma dichol kendo ma jaber, yaye nyi Jerusalem, an dichol mana ka hembe mag Kedar, kendo mana ka pasia molier e hembe Solomon.
Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
6 Kik uchaya nikech an dichol, nimar chiengʼ ema oseloko denda kamano. Yawuot minwa nokecho koda, mine giketa jarit puothegi mag mzabibu; to puotha awuon mar mzabibu to ne ajwangʼo.
Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
7 Yaye jaherana, nyisane kuma ikwayoe jambi kod kuma iweye rombi mondo oyweyee odiechiengʼ tir. Angʼo momiyo dachal mana gi dhako moumo wangʼe e dier jamb osiepeni?
Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
8 Ka ok ingʼeyo, yaye jaber moloyo mon mamoko, lu bangʼ rombe kuonde ma gikwayoe, mondo ikwa nyidiek ma pod tindo e bath hembe mag jokwath.
Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
9 Jaherana, apimi mana gi faras madhako motwe but achiel kuom geche Farao.
Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
10 Lembi nenore maber ka sitadi olierie; ngʼuti bende nenore maber ka olierie tigo ma nengogi tek.
Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
11 Wabiro losoni thiwni mag dhahabu, kod tigo mag fedha.
Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12 Kane ruoth chiemo e mesane, mo mangʼwe ngʼar man-gi tik mamit nopongʼo ot kadonjo.
Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13 Jaherana chalona gi mo mane-mane mobo matin ma nengone tek, mantie e kind thundena.
Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
14 Jaherana chalona maua maber mothiewo, moa e puoth mzabibu man En Gedi.
Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
15 Mano kaka ijaber, jaherana! Yaye, mano kaka ijaber! Wengeni neno mamuol ka akuru.
Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
16 Mano kaka iber, jaherana! Yaye, mano kaka berni olomba! Kendo kitandawa bende yom ka lum mangʼich.
Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
17 Bepe mag tat odwa gin mag sida; kendo bede yien mokar mag obudo nobednwa tado.
Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.