< Zaburi 3 >

1 Zaburi mar Daudi, kane oringo oa ir wuode Abisalom. Yaye Jehova Nyasaye, mano kaka wasika thoth! Mano kaka joma lawa ngʼeny!
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2 Ji mangʼeny wuoyo kuoma, kagiwacho ni, “Nyasaye ok bi rese.” (Sela)
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 To In e okumbana mogengʼa, yaye Jehova Nyasaye; In ema imiyo alocho, kendo isetingʼo wiya malo.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4 Aywak matek ka alemo ni Jehova Nyasaye, kendo odwoka gie gode maler. (Sela)
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5 Ariera piny mondo anindi; kendo achako aa malo, nikech Jehova Nyasaye orita.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6 Ok abi luoro ji gana gi gana molwora mondo otimna marach.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 Aa malo, yaye Jehova Nyasaye! Resa, yaye Nyasacha! Tur chok lemb wasika duto; Muk leke joma timbegi richo.
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
8 Resruok aa mana kuom Jehova Nyasaye. Mad igweth jogi. (Sela)
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Zaburi 3 >