< Zaburi 123 >

1 Wer ma ji wero kadhi e hekalu. Atingʼo wangʼa ka arango, in ma kom lochni ni e polo.
Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
2 Mana kaka wenge wasumbini rango lwet ruodhgi, kendo kaka wenge jatich ma nyako mar ot rango lwet ruodhe madhako, e kaka wengewa rango Jehova Nyasaye ma Nyasachwa nyaka chop okechwa.
Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
3 Yie ikechwa, yaye Jehova Nyasaye, yie ikechwa, nikech osechawa gi kinda.
Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
4 Josunga osejarowa moromo acheje bende osechayowa moromo.
Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.

< Zaburi 123 >