< Joshua 21 >

1 Bangʼe jotelo mag anywola mag dhout jo-Lawi nobiro ir Eliazar jadolo, Joshua wuod Nun, kod jotelo mag dhout anywola mamoko mag Israel,
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 kama iluongo ni Shilo ei Kanaan mi giwachonegi niya, “Jehova Nyasaye nochiko kokalo kuom Musa ni mondo imiwa dalano mondo wadagie, kod kuonde ma jambwa nyalo kwayoe.”
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Omiyo kaka Jehova Nyasaye nosechiko, jo-Israel nomiyo jo-Lawi mier matindogi kod kuonde kwath koa kuom pokgi giwegi.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 Pok mokwongo nodhine jo-Kohath kaluwore gi anywola margi. Jo-Lawi mane nyikwa Harun jadolo nopog mier matindo apar gadek koa e dhout Juda, Simeon kod Benjamin.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 Nyikwa Kohath mane odongʼ nopog mier matindo apar koa e anywola mar dhout Efraim, Dan kod nus mar dhood Manase.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 Nyikwa Gershon nopog mier matindo apar gadek koa e anywola mar dhood Isakar, Asher, Naftali, to gi nus mar dhood Manase man Bashan.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Nyikwa Merari kaluwore gi anywola margi, noyudo mier matindo apar gariyo koa e dhood Reuben, Gad kod Zebulun.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 Omiyo jo-Israel nopogo jo-Lawi mier matindogi kod kuonde kwath, mana kaka Jehova Nyasaye nochiko kokalo kuom Musa.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 Koa e dhout Juda kod Simeon negipogo mier matindogi gi nying-gi kama:
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 mier matindogi ne gin mek nyikwa Harun mane oa kuom jo-Kohath e anywola mar jo-Lawi, nikech pok mokwongo nomigi.
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 Ne gimiyogi Kiriath Arba (tiende ni, Hebron), gi kuonde kwath, mantiere e piny manie got mar Juda. Arba ne en kwar jo-Anak.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 To puothe kod gwenge molworo dala maduongʼ ne gisemiyo Kaleb wuod Jefune kaka pok mare.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 Omiyo nyikwa Harun jadolo negimiyo Hebron (ma en dala maduongʼ mar tony mar ngʼama oneko), Libna,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 Jatir, Eshtemoa,
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 Holon, Debir,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 Ain, Juta kod Beth Shemesh, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo ochiko koa e dhoudi ariyogi.
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 To koa e dhood Benjamin ne gimiyogi Gibeon, Geba,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 Anathoth kod Almon, kaachiel gi kuondegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 Mier matindo duto mane omi jodolo ma nyikwa Harun, ne gin apar gadek, kaachiel gi legegi mag kwath.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 Anywola mar jo-Kohath mar dhood Lawi mane odongʼ nopog mier matindo koa e dhood Efraim.
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 E yo kama otingʼore mar Efraim nomi Shekem (ma en dala maduongʼ mar tony ne ngʼatno miparo kuome ni oneko) kod Gezer,
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 Kibzaim kod Beth Horon, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 Bende koa e dhood Dan nomigi Elteke, Gibethon,
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 gi Aijalon kod Gath Rimon, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 Koa e nus mar dhood Manase nomigi Tanak kod Gath Rimon, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo ariyo.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 Mier matindogi apar kod legegi mag kwath nomi anywola jo-Kohath mane odongʼ.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 Mier mane omi jo-Gershon maa e dhood Lawi ne gin: Koa e nus mar dhood Manase, nomigi, Golan mantiere Bashan (ma en dala maduongʼ mar pondo ne ngʼatno miparo kuome ni oneko), kod Be Eshtara, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo ariyo.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 Koa e dhood Isakar, nomigi, Kishion, Daberath,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 Jarmuth kod En Ganim, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 Koa e dhood Asher nomigi, Mishal, Abdon,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 Helkath kod Rehob, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 Koa e dhood Naftali, nomigi, Kedesh man Galili (ma en dala maduongʼ mar pondo ne ngʼatno miparo kuome ni oneko), gi Hamoth Dor kod Kartan, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo adek.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Mier matindo duto mar anywola jo-Gershon ne gin apar gadek, kaachiel gi legegi mag kwath.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 Anywola jo-Merari (ma gin jo-Lawi mamoko) nomi: Koa e dhood Zebulun nomi: Jokneam, Karta,
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 Dimna kod Nahalal, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 Koa e dhood Reuben nomi: Bezer, Jahaz,
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 Kedemoth kod Mefath, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 Koa e dhood Gad nomi: Ramoth mantiere Gilead (ma en dala maduongʼ mar pondo ne ngʼatno miparo kuome ni oneko), gi Mahanaim,
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 Heshbon kod Jazer, kaachiel gi legegi mag kwath. Giduto ne gin mier matindo angʼwen.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Mier matindo duto mane opog ni anywola jo-Merari mane gin jo-Lawi modongʼ, ne gin apar gariyo.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 Mier matindo mag jo-Lawi e piny mane jo-Israel okawo ne gin piero angʼwen gaboro giduto, kaachiel gi legegi mag kwath.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Mier matindogi moro ka moro ne nigi legegi mag kwath e alworagi, kendo ma ne en adiera ne mier matindogi duto.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 Omiyo Jehova Nyasaye nomiyo jo-Israel pinje duto mane osingore ni enomi kweregi, kendo ne gikawogi mi gidakie.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 Jehova Nyasaye nomiyogi kwe, mana kaka ne osesingore ni enomi kweregi. Onge wasikgi moro amora mane omonjogi; kendo Jehova Nyasaye nochiwo wasikgi duto e lwetgi.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Onge singruok moro amora mane Jehova Nyasaye omiyo jo-Israel mane ok otimonegi; moro ka moro nochopo kaka nowacho.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.

< Joshua 21 >