< Ayub 19 >

1 Eka Ayub nodwoko niya,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Ubiro chando chunya nyaka karangʼo ka uchuoya gi weche?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 Koro useyanya nyadipar kendo uonge gi wichkuot ka umonja.
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 Kapo ni en adier ni asebaro mabor, to mano obadhou gangʼo.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 To kapo ni unyalo tingʼoru malo moloya kendo uchuoya gi wach nikech chandruok ma an-go,
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 to kara ngʼeuru ni Nyasaye osechwanya kendo gogo mare osemaka.
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 “Ka aywak ni, ‘Itimona marach!’ Onge ngʼama dewa; to kata ka adwaro kony, to ok anyal yudo.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 Osedino yorena ma ok anyal kalo; kendo osemiyo kuonde maluwo otimo mudho.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 Osemaya duongʼna mi ogolo osimbo e wiya.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 Oseturo denda duto motieka kendo opudho genona ka ngʼama pudho yien.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 Mirimbe maliel ka mach ni kuoma; kendo okwana kaka achiel kuom wasike.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 Jolweny mage pangore kochoma gi tekregi duto; gigona agengʼa ka gidwaro kedo koda, kendo giguro hembegi e alwora mar dalana.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 “Osepoga gi owetena monywolago; kendo jogo mosiepena bende oseringo oweya.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 Anywolana oseringo oweya; kendo osiepena wigi osewil koda.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 Wenda gi jotichna ma nyiri kwana kaka ngʼat ma gikia; kendo ginena kaka japiny moro.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 Ka aluongo jatichna moro kata bed mana ni asaye gi dhoga awuon, to ok odewa.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 Chiega ok dwar winjo tikna; kendo kata mana owetena bende ok dwar sudo buta machiegni.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Nyaka yawuowi matindo bende jara; kendo ka ginena, to ginyiera.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 Osiepena mageno ok dwara; jogo mane chunya ohero bende ok dwara.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 Adhero mi adongʼ choke lilo; kendo gima adongʼ-go en mana ring laka.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 “Kechauru, yaye osiepena, kechauru, nikech lwet Nyasaye osetieka.
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 Angʼo momiyo ulaworu koda kaka Nyasaye lawa? Sando ringra pok oromou?
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 “Yaye, mad ne ngʼato mak wechegagi, kendo ndikgi e kitabu,
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 kata ndikgi gi kalamb chuma, kata ne gorgi e lwanda kama ok ginyal ruchoree!
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 Angʼeyo ni Jawarna nitie kendo ngima, kendo chiengʼ giko nochungʼ kongʼado bura ne piny.
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 Kata ka tuo oketho denda kamano, to e ringruogni anane Nyasaye.
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 Adier, ananene gi wangʼa awuon mana an ma ok ngʼat moro. Mano kaka chunya ogeno odiechiengno!
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 “Ka uwacho ni, ‘Mano kaka udhi nyime kungʼadona bura, mana ka gima oseyala moseyudi ni an jaketho,’
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 to un bende asiemou ni ibiro kumou; nikech paro marach ma un-gono, eka unungʼe ni nitiere chiengʼ ngʼado bura.”
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”

< Ayub 19 >