< Ayub 18 >
1 Eka Bildad ja-Shua nodwoko niya:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 “Ibiro weyo weche miwachogi karangʼo? Bed ngʼama odimbore eka wawuo.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Angʼo momiyo ikawowa ka dhok kendo wachalo joma ofuwo e nyimi?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Mirima ma in-gono biro hinyi mana in iwuon, iparo ni piny biro rumo nikech in? Koso nyaka gol lwendni kuonde magintie?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 “Tach joma timbegi richo osenegi; kendo mae oseweyo liel.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 Ler manie hembe oselokore mudho; kendo taya manie bathe osetho.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Chon nowuotho motegno, to tinde oywayo wuoth, riekone owuon ema omiyo opodho.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Tiendene osetere ei gogo kendo koro orundore e iye.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 Obadho osemako ombongʼne; kendo oride matek ma ok onyal bwodho.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 Ochike gi otegu mopandi ei lowo kendo oket ne obadho e yo moluwo.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Masiche onure koni gi koni kendo okete ka gi ka.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Midhiero oikore mar chame kendo chandruok okichore mar muonye sa ma opodho.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 Tuo marach omako dende duto, kendo miyo bedene kod tiendene kethore.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Oseywae oko mogole e hembe kama ne odakie gi kwe, motere nyaka e nyim ruodh chandruok.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 Gimoro amora mane entierego koro onge e hembe; nikech mach mager osewangʼo kar dakne.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Jarichono chalo gi yath ma tiendene otwo ei lowo, kendo bedene oner.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Humbe rumo e piny; kendo onge ngʼama nochak opare.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 Oriembe ogole e ler mi otere e mudho, kendo humbe orumo e piny.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 Oonge gi nyithinde kata nyikwaye e dier ogandane, kata ngʼama nodongʼ kama yande odakie.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Ka joma nodak yo podho chiengʼ nowinjo gima notimoreno luoro nomakogi, to joma odak yo wuok chiengʼ, kihondko nogoyo.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Chutho mago e gik matimore ne joma timbegi richo mokia Nyasaye.”
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”