< Ayub 16 >

1 Eka Ayub nodwoko ni,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Asewinjo weche machal kamago mathoth; un duto un johocho ma chunygi odhier mogik!
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Wecheu moywarego biro rumo karangʼo? Koso utuo, momiyo usiko gi mino wach?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 Ka dabed ni un ema uwinjo marach kaka awinjoni, to an bende anyalo wuoyo mana kaka uwuoyono; dikoro arogonu gi weche ma ok rum kendo dikoro akinonu wiya.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 To dhoga dine ojiwou; kendo hoch mawuok e dhoga dine odwogo chunyu.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 “To kata awuo manade, to rem ma an-go medore ameda; to kata ka aweyo wuoyo to bende ok orum.
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Kuom adier, yaye Nyasaye, isedwoka piny mogik, isetieko joga duto pep.
Lakini sasa, Mungu,
8 Isemaka kaka jasiki, mi adhero ma adongʼ choke lilo, kendo mano miyo ji paro ni an jasiki.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Nyasaye ok dwara omiyo osegoyo denda gi tuoche magalagala ka en gi mirima kendo kokayona lake, ka wasika to juolona wangʼ-gi ka gisin koda.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Ji ngʼamo dhogi ka gijara; Githalo lemba ka gisin koda, kendo ginur kuoma giduto ka giriwona.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Nyasaye osejwangʼa e lwet joma timbegi richo adier Nyasaye osewita e lwet jo-mahundu.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Gik moko duto ne dhina maber, to koro osetieka; mi omaka gi ngʼuta kendo otura matindo tindo. Osechoma tir;
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 kendo aserni mage olwora koni gi koni. Gisechwoya mi iya oo piny e lowo, to eka pod ok okecha.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Ohinyo denda kinde ka kinde; kendo omonja ka jalweny ma chunye okethore.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 “Asetwangʼo pien gugru mi arwako kendo asebuko lela wangʼa gi buru.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Ywak osemiyo wangʼa olokore makwar, kendo wangʼa osiko neno mana mudho;
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 to lwetena pok otimo tim mahundu kata dichiel kendo alamo Nyasaye gi chuny maler.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 “Yaye lowo, kik iyie iyik remba; mad ywak ma aywakgo kik rum!
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Kata mana sani ngʼat matimo nenda maber ni e polo, ngʼat mabiro chungʼ ka chwaka ni malo.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Osiepena jara to pi wangʼa chwer ka akwayo Nyasaye mondo odwok lamona;
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 okwayo Nyasaye kolamo kar ngʼama chielo mana kaka ngʼato nyalo kwechone osiepne.
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 “Adongʼ gi higni matin nono, bangʼe to abiro dhi kama ok duogie.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.

< Ayub 16 >