< 1 Weche Mag Ndalo 1 >

1 Adam nonywolo Seth, Enosh.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel. Mahalalel nonywolo Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enok. Enok nonywolo Methusela, Lamek. Lamek nonywolo Nowa.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 To Nowa nonywolo Shem, Ham kod Jafeth.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Yawuot Jafeth ne gin: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshek kod Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Yawuot Gomer ne gin: Ashkenaz, Rifath kod Togarma
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Yawuot Javan ne gin: Elisha, Tarshish, jo-Kitim kod jo-Rodan.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Yawuot Ham ne gin: Kush, Mizraim, Put kod Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Yawuot Kush ne gin: Seba, Havila, Sabta, Rama kod Sabteka. Yawuot Rama ne gin: Sheba kod Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Kush ne en wuon Nimrod, mane en jalweny maratego e piny.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Mizraim ne en wuon jo-Lud, jo-Anam, jo-Lehab, jo-Naftu,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Jo-Pathrus, jo-Kaslu (ma jo-Filistia nowuok kuomgi) kod jo-Kaftor.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Kanaan nonywolo Sidon wuode makayo, kendo jo-Hiti,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 jo-Jebus, jo-Amor, jo-Girgash,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 jo-Hivi, jo-Arki, jo-Sini,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 jo-Arvad, jo-Zemar kod jo-Hamath.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Shem nonywolo Elam, Ashur, Arfaksad, Lud kod Aram. Aram nonywolo Uz, Hul, Gether kod Meshek.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arfaksad nonywolo Shela, to Shela nonywolo Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Eber nonywolo yawuowi ariyo: wuode makayo nochako ni Peleg, nikech e ndalono ema nopogie piny, owadgi to ne nyinge Joktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Joktan nonywolo Almodad, Shelef, Hazarmaveth, gi Jera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael (kata Ebal), gi Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Havila kod Jobab. Jogo duto ne gin yawuot Joktan.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Shem nonywolo Arfaksad, Arfaksad nonywolo Shela.
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Shela nonywolo Eber, Eber nonywolo Peleg. Peleg nonywolo Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Reu nonywolo Serug. Serug nonywolo Nahor, to Nahor nonywolo Tera.
Serugi, Nahori, Tera,
27 Tera nonywolo Abram (ma bangʼe noluongo ni Ibrahim).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Yawuot Ibrahim ne gin: Isaka gi Ishmael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Ishmael nonywolo Nebayoth wuode makayo, Kedar, Adbel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafish kod Kedema. Jogo duto ne yawuot Ishmael.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Ketura, ma chi Ibrahim machielo, nonywolo Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak kod Shua. Yawuot Jokshan ne gin: Sheba kod Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Midian nonywolo Efa, Efer, Hanok, Abida kod Elda. Magi duto ne gin nyikwa Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Ibrahim nonywolo Isaka. To Isaka nonywolo Esau kod Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Esau nonywolo Elifaz, Reuel, Jeush, Jalam kod Kora.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Elifaz nonywolo Teman, Omar, Zefo, Gatam kod Kenaz. Timna ma ne en chi Elifaz machielo nonywolo Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Yawuot Reuel ne gin: Nahath, Zera, Shama kod Miza.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Seir nonywolo Lotan, Shobal, Zibeon, Ana, Dishon, Ezer kod Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Lotan nonywolo Hori kod Homam. Timna ne en nyamin Lotan.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Shobal nonywolo Alvan, Manahath, Ebal, Shefo kod Onam. Zibeon nonywolo Aiya kod Ana.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Ana nonywolo Dishon. Dishon nonywolo Hemdan, Eshban, Ithran kod Keran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Ezer nonywolo Bilhan, Zavan kod Akan. Dishan nonywolo Uz kod Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Magi e ruodhi mane orito piny Edom kane jo-Israel ne pod onge kod ruodhi: Bela wuod Beor ma dalane maduongʼ niluongo ni Dinhaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Kane Bela otho, Jobab wuod Zera mane ja-Bozra nobedo ruoth kare.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Kane Jobab otho, Husham mane oa e piny jo-Teman nobedo ruoth kare.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Kane Husham otho, Hadad wuod Bedad mane oloyo jo-Midian e piny jo-Moab nobedo ruoth kare. Dalane maduongʼ niluongo ni Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Kane Hadad otho, Samla ja-Masreka nobedo ruoth kare.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Kane Samla otho, Shaul ja-Rehoboth man but aora nobedo ruoth kare.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Kane Shaul otho, Baal-Hanan wuod Akbor nobedo ruoth kare.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Kane Baal-Hanan otho, Hadad nobedo ruoth kare. Dalane maduongʼ niluongo ni Pau, kendo chiege niluongo ni Mehetabel nyar Matred ma nyar Me-Zahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Hadad bende ne otho. Jodong Edom ne gin: Timna, Alva, Jetheth
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibama, Ela, Pinon
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mibzar
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel kod Iram. Magi e jodongo mag Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Weche Mag Ndalo 1 >