< 1 Weche Mag Ndalo 6 >
1 Yawuot Lawi ne gin: Gershon, Kohath kod Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 Yawuot Kohath ne gin: Amram, Izhar, Hebron kod Uziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 Nyithind Amram ne gin: Harun, Musa kod Miriam. Yawuot Harun ne gin: Nadab, Abihu, Eliazar kod Ithamar
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Eliazar nonywolo Finehas, to Finehas nonywolo Abishua,
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 Abishua nonywolo Buki, to Buki nonywolo Uzi,
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 Uzi nonywolo Zerahia, to Zerahia nonywolo Merayoth,
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Merayoth nonywolo Amaria, to Amaria nonywolo Ahitub,
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 Ahitub nonywolo Zadok, Zadok nonywolo Ahimaz,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 Ahimaz nonywolo Azaria, to Azaria nonywolo Johanan,
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 Johanan nonywolo Azaria. En ema ne otiyo kaka jadolo e hekalu mane Solomon ogero Jerusalem.
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 Azaria nonywolo Amaria, to Amaria nonywolo Ahitub,
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 Ahitub nonywolo Zadok, to Zadok nonywolo Shalum,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 Shalum nonywolo Hilkia, to Hilkia nonywolo Azaria,
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 Azaria nonywolo Seraya, to Seraya nonywolo Jehozadak.
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 Jehozadak nodar kane Jehova Nyasaye otiyo gi Nebukadneza motero Juda gi Jerusalem e twech.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Yawuot Lawi ne gin: Gershon, Kohath kod Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 Magi e nying yawuot Gershon: Libni kod Shimei.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 Yawuot Kohath ne gin: Amram, Izhar, Hebron kod Uziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 Yawuot Merari ne gin: Mali kod Mushi. Dhout jo-Lawi kaluwore kweregi e magi:
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Joka Gershon ne gin: Gershon nonywolo Libni, Libni nonywolo Jahath, Jahath nonywolo Zima,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 Zima nonywolo Joa, Joa nonywolo Ido, Ido nonywolo Zera to Zera nonywolo Jeatherai.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 Joka Kohath ne gin: Kohath nonywolo Aminadab, Aminadab nonywolo Kora, Kora nonywolo Asir,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 Asir nonywolo Elkana, Elkana nonywolo Ebiasaf, Ebiasaf nonywolo Asir,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 Asir nonywolo Tahath, Tahath nonywolo Uriel, Uriel nonywolo Uzia, to Uzia nonywolo Shaul.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 Joka Elkana ne gin: Elkana nonywolo Amasai, Amasai nonywolo Ahimoth,
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 Ahimoth nonywolo Elkana, Elkana nonywolo Zofai, Zofai nonywolo Nahath,
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Nahath nonywolo Eliab, Eliab nonywolo Jeroham, Jehoram nonywolo Elkana, to Elkana nonywolo Samuel.
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 Yawuot Samuel ne gin: Joel wuowi makayo, kod Abija, wuode mar ariyo.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 Joka Merari ne gin: Merari nonywolo Mali, Mali nonywolo Libni, Libni nonywolo Shimei, Shimei nonywolo Uza
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 Uza nonywolo Shimea, Shimea nonywolo Hagia, to Hagia nonywolo Asaya.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 Magi e joma Daudi noketo mondo ochungʼ ne weche mag wer e od Jehova Nyasaye bangʼ kane osekel Sandug Muma kanyo.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 Negipako Nyasaye gi wer ka gigoyo thum e nyim kar romo gi Nyasaye, e Hemb Romo nyaka Solomon notieko gero hekalu mar Jehova Nyasaye Jerusalem. Negitiyo tijegi moluwore kod chike mane oketnegi.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 Magi e joma notiyo kaachiel gi yawuotgi: Koa kuom jo-Kohath ne gin: Heman jago thum, ma wuod Joel, ma wuod Samuel,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 wuod Elkana, wuod Jeroham, wuod Eliel, wuod Toa,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 wuod Zuf, wuod Elkana, wuod Mahath, wuod Amasai,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 wuod Elkana, wuod Joel, wuod Azaria, wuod Zefania,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 wuod Tahath, wuod Asir, wuod Ebiasaf, wuod Kora,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 wuod Izhar, wuod Kohath, wuod Lawi, wuod Israel;
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 kod Asaf jatich kaachiel gi Heman mane otiyo kochungʼ e bade korachwich. Asaf wuod Berekia, wuod Shimea,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 wuod Mikael, wuod Baseya, wuod Malkija,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 wuod Ethni, wuod Zera, wuod Adaya,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 wuod Ethan, wuod Zima, wuod Shimei
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 wuod Jahath, wuod Gershon, wuod Lawi;
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 kendo koa kuom jotich kaachiel kodgi, joka Merari kochungʼ e bade koracham ne gin: Ethan wuod Kishi, wuod Abdi, wuod Maluk,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 wuod Hashabia, wuod Amazia, wuod Hilkia,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 wuod Amzi, wuod Bani, wuod Shemer,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 wuod Mali, wuod Mushi, wuod Merari, wuod Lawi.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Jo-Lawi mamoko to ne omi tije mamoko duto e hema, e od Nyasaye.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 To Harun gi joge ema ne chiwo misango e kendo mar misango miwangʼo pep, kendo ne giwangʼo ubani e kendo mar ubani, kendo negitimo misango mipwodhogo richo jo-Israel. Negitiyo tije duto mag Kama Ler Moloyo, kaka Musa jatich Nyasaye nochiko.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 Magi e joka Harun: Harun nonywolo Eliazar, Eliazar nonywolo Finehas, Finehas nonywolo Abishua,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 Abishua nonywolo Buki, Buki nonywolo Uzi, Uzi nonywolo Zerahia,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 Zerahia nonywolo Merayoth, Merayoth nonywolo Amaria, Amaria nonywolo Ahitub,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 Ahitub nonywolo Zadok, to Zadok nonywolo Ahimaz.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Magi e kuondegi mane gidakie kod gwenge mane omigi (tiende ni, mane omi joka Harun mane jo-dhood Kohath nikech pok mokwongo ne margi).
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 Ne omigi Hebron ei Juda kaachiel gi kuonde kwath molwore.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 (To pewe kod mier molworo dala maduongʼ nomi Kaleb wuod Jefune.)
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 Omiyo nyikwa Harun nomi Hebron (ma en dala mar pondo), kod Libna, Jatir, Eshtemoa,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 Ashan, Juta kod Beth Shemesh to gi kuondegi mag kwath.
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 Kuom oganda mag Benjamin to ne omi Gibeon, Geba, Alemeth kod Anathoth, kaachiel gi kuondegi mag kwath. Mier mane opog ne anywola Kohath ne gin apar gadek koriwore.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 Joka Kohath mamoko to nopog mier apar koa e nus dhout oganda Manase.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 Joka Gershon, kuom anywola ka anywola nopog mier apar gadek koa kuom oganda mar Isakar, Asher kod Naftali, kendo koa e nus mar dhout oganda Manase manodak Bashan.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Joka Merari kuom anywola ka anywola to nopog mier apar gariyo koa kuom oganda Reuben, Gad kod Zebulun.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 Omiyo jo-Israel nomiyo jo-Lawi miechgi kod kuondegi mag kwath.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 Koa kuom oganda Juda, Simeon, kod Benjamin negipogogi mier mondik malogo.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 Dhood Kohath mamoko ne omi mier mag dak ei oganda Efraim.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 E piny got mar Efraim nomigi Shekem (ma en dala maduongʼ mar pondo) kod Gezer,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 Aijalon to gi Gath Rimon, kaachiel gi kuonde kweth.
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 To koa kuom nus oganda Manase jo-Israel nochiwo Aner kod Biliam, kaachiel gi kuondegi mag kwath ne anywola dhout Kohath mane odongʼ.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 Jo-Gershon nonwangʼo magi: Koa kuom nus anywola mar joka Manase, neginwangʼo Golan man Bashan kod Ashtaroth bende, kaachiel gi kuondegi mag kwath;
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 koa kuom oganda Isakar neginwangʼo Kedesh, Daberath,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 Ramoth kod Anem, kaachiel gi kuondegi mag kwath,
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 koa kuom oganda Asher neginwangʼo Mashal, Abdon,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 Hukok kod Rehob, kaachiel gi kuondegi mag kwath;
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 kendo kuom oganda jo-Naftali neginwangʼo Kedesh ei Galili, Hamon kod Kiriathaim, kaachiel gi kuondegi mag kwath.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 Jo-Merari (ma gin jo-Lawi modongʼ) nonwangʼo magi: Koa kuom oganda Zebulun neginwangʼo Jokneam, Karta, Rimono kod Tabor kaachiel gi kuondegi mag kwath;
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 koa kuom oganda Reuben modak loka Jordan, yo wuok chiengʼ momanyore gi Jeriko neginwangʼo Bezer e piny thim mar Jazer,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 Kedemoth kod Mefath kaachiel gi kuondegi mag kwath;
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 to koa kuom oganda Gad neginwangʼo Ramoth man Gilead, Mahanaim,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 Heshbon kod Jazer kaachiel gi kuondegi mag kwath.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.