< 1 Weche Mag Ndalo 4 >

1 Nyikwa Juda ne gin: Perez, Hezron, Karmi, Hur gi Shobal.
Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
2 Reaya wuod Shobal nonywolo Jahath, to Jahath nonywolo Ahumai kod Lahad. Magi ema ne anywola mar jo-Zorath.
Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
3 Magi ema ne yawuot Etam: Jezreel, Ishma kod Idbash, to nyamin-gi niluongo ni Hazelelponi.
Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
4 Penuel nonywolo Gedor kod Ezer ma wuon Husha. Magi ne nyikwa Hur, mane en wuod Efratha makayo mane wuon Bethlehem.
Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
5 Ashur wuon Tekoa ne nigi mon ariyo, Hela kod Naara.
Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6 Naara nonywolone Ahuzam, Hefer, Temeni kod Hahashtari. Magi ema ne nyikwa Naara.
Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
7 Yawuot Hela ne gin: Zereth, Zohar, Ethnan
Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
8 kod Koz, mane wuon Anub, to gi Hazobeba kod anywola mar Aharhel wuod Harum.
na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
9 Jabez ne ngʼat marahuma moloyo owetene. Min-gi nochake Jabez, kowacho niya, “Ne anywole gi rem.”
Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
10 Jabez noywagorene Nyasach Israel, “Yaye, yie igwedha mondo pinyruodha omedre! Mad lweti obed koda kendo orita mondo kik gima rach ohinya kendo abedi maonge rem.” To Nyasaye notimone mana kaka ne okwayono.
Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
11 Kelub, owadgi Shuha nonywolo Mehir mane wuon Eshton.
Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
12 Eshton nonywolo Beth Rafa, Pasea kod Tehina mane wuon Ir Nahash. Magi ne jo-Reka.
Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
13 Yawuot Kenaz ne gin: Othniel kod Seraya. Yawuot Othniel ne gin: Hahath kod Meonothai.
Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
14 Meonothai nonywolo Ofra. Seraya nonywolo Joab mane wuon Ge Harashim. Kanyo niluongo ni Ge Harashim nikech joma nodak kanyo ne joma payo gik moko.
Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
15 Kaleb ma wuod Jefune nonywolo: Iru, Ela kod Naam. Ela nonywolo ne en Kenaz.
Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
16 Yawuot Jehalelel ne gin: Zif, Zifa, Tiria kod Asarel.
Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
17 Yawuot Ezra ne gin: Jetha, Mered, Efer kod Jalon. Achiel kuom mond Mered nonywolo Miriam, Shamai kod Ishba mane wuon Eshtemoa.
Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
18 Magi e nyithind Bithia nyar Farao mane Mered okendo. Jaode ma nyar Juda to nonywolo Jered ma wuon Gedor, Heber nonywolo Soko, to Jekuthiel nonywolo Zanoa.
Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
19 Yawuot jaod Hodia, nyamin Naham ne gin: Keila ja-Garmi kod Eshtemoa ja-Maaka.
Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
20 Yawuot Shimon ne gin: Amnon, Rina, Ben-Hanan kod Tilon. Nyikwa Ishi ne gin: Zoheth kod Ben-Zoheth.
Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
21 Yawuot Shela wuod Juda ne gin: Er ma wuon Leka, Laada ma wuon Maresha kod jo-anywola maloso lewni Beth Ashbea;
Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
22 Jokim, jo-Kozeba kod Joash gi Saraf mane jatend Moab kod Jashubi Leham. Weche mondikgi noyud koa e kitepe mag ndalo machon.
Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
23 Magi ne jo-chwe agulni mane odak Netaim kod Gedera, kendo negidak kanyo ka negitiyone ruoth.
Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
24 Nyikwa Simeon ne gin: Nemuel, Jamin, Jarib, Zera kod Shaul;
Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
25 Shaul nonywolo Shalum, Shalum nonywolo Mibsam, to Mibsam nonywolo Mishma.
Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
26 Joka Mishma ne gin: Hamuel nonywolo Zakur, Zakur nonywolo Shimei.
Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
27 Shimei ne nigi yawuowi apar gauchiel kod nyiri auchiel, owetene to ne onge gi nyithindo mangʼeny omiyo anywolagi duto ne ok obedo oganda maduongʼ kaka jo-Juda.
Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
28 Negidak Bersheba, Molada, Hazar Shual,
Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
29 Bilha, Ezem, Tolad,
Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
30 Bethuel, Horma, Ziklag,
Bethueli, Horma, Zikilagi,
31 Beth Makaboth, Hazar Susim, Beth Biro kod Sharaim. Magi ne miechgi nyaka chop kinde loch Daudi.
Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
32 Miechgi abich mamoko mane olworogi ne gin Etam, Ain, Rimon, Token kod Ashan,
Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
33 kaachiel gi gwenge duto mokiewo kodgi mag dak nyaka chopi Baalath. Magi ne miechgi mag dak. Kendo negindiko nonro margi:
pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
34 Meshobab, Jamlek, Josha wuod Amazia,
Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
35 Joel, Jehu wuod Joshibia, ma wuod Seraya ma wuod Asiel,
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
36 to gi Elioenai, Jakoba, Jeshohaya, Asaya, Adiel, Jesimiel, Benaya,
Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
37 kod Ziza wuod Shifi, ma wuod Alon, ma wuod Jedaya, wuod Shimri, wuod Shemaya.
na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
38 Chwo mondik nying-gi malogo ne jotelo mar anywolagi. Anywolagi nomedore ahinya
Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
39 kendo negidak nyaka oko mar Gedor koma omanyore gi wuok chiengʼ mar holo ka gimanyo kar kwath ne jambgi.
Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
40 Neginwangʼo kuonde kwath mabeyo, piny ne lach kendo kwe ne nitie. Jo-Ham moko nodak kae mokwongo.
Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
41 Chwo ma nying-gi ondikgo nobiro e ndalo Hezekia ruodh Juda. Negimonjo jo-Ham kuma negidakie kod jo-Meun mane nitie kanyo ma gitiekogi duto mana kaka nyisore ratiro nyaka sani. Negidak ka nikech ne nitiere kar kwath ne jambgi.
Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
42 To ji mia abich kuom jo-Simeon, ka otelnigi gi Pelatia, Nearia, Refaya kod Uziel, ma yawuot Ishi ne omonjo piny got Seir.
Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
43 Neginego jo-Amalek mane otony odongʼ kendo pod gidak kanyo nyaka chil kawuono.
Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.

< 1 Weche Mag Ndalo 4 >