< 1 Weche Mag Ndalo 4 >

1 Nyikwa Juda ne gin: Perez, Hezron, Karmi, Hur gi Shobal.
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2 Reaya wuod Shobal nonywolo Jahath, to Jahath nonywolo Ahumai kod Lahad. Magi ema ne anywola mar jo-Zorath.
Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
3 Magi ema ne yawuot Etam: Jezreel, Ishma kod Idbash, to nyamin-gi niluongo ni Hazelelponi.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
4 Penuel nonywolo Gedor kod Ezer ma wuon Husha. Magi ne nyikwa Hur, mane en wuod Efratha makayo mane wuon Bethlehem.
Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
5 Ashur wuon Tekoa ne nigi mon ariyo, Hela kod Naara.
Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6 Naara nonywolone Ahuzam, Hefer, Temeni kod Hahashtari. Magi ema ne nyikwa Naara.
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
7 Yawuot Hela ne gin: Zereth, Zohar, Ethnan
Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
8 kod Koz, mane wuon Anub, to gi Hazobeba kod anywola mar Aharhel wuod Harum.
na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
9 Jabez ne ngʼat marahuma moloyo owetene. Min-gi nochake Jabez, kowacho niya, “Ne anywole gi rem.”
Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
10 Jabez noywagorene Nyasach Israel, “Yaye, yie igwedha mondo pinyruodha omedre! Mad lweti obed koda kendo orita mondo kik gima rach ohinya kendo abedi maonge rem.” To Nyasaye notimone mana kaka ne okwayono.
Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
11 Kelub, owadgi Shuha nonywolo Mehir mane wuon Eshton.
Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
12 Eshton nonywolo Beth Rafa, Pasea kod Tehina mane wuon Ir Nahash. Magi ne jo-Reka.
Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
13 Yawuot Kenaz ne gin: Othniel kod Seraya. Yawuot Othniel ne gin: Hahath kod Meonothai.
Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
14 Meonothai nonywolo Ofra. Seraya nonywolo Joab mane wuon Ge Harashim. Kanyo niluongo ni Ge Harashim nikech joma nodak kanyo ne joma payo gik moko.
Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
15 Kaleb ma wuod Jefune nonywolo: Iru, Ela kod Naam. Ela nonywolo ne en Kenaz.
Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
16 Yawuot Jehalelel ne gin: Zif, Zifa, Tiria kod Asarel.
Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
17 Yawuot Ezra ne gin: Jetha, Mered, Efer kod Jalon. Achiel kuom mond Mered nonywolo Miriam, Shamai kod Ishba mane wuon Eshtemoa.
Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
18 Magi e nyithind Bithia nyar Farao mane Mered okendo. Jaode ma nyar Juda to nonywolo Jered ma wuon Gedor, Heber nonywolo Soko, to Jekuthiel nonywolo Zanoa.
Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
19 Yawuot jaod Hodia, nyamin Naham ne gin: Keila ja-Garmi kod Eshtemoa ja-Maaka.
Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
20 Yawuot Shimon ne gin: Amnon, Rina, Ben-Hanan kod Tilon. Nyikwa Ishi ne gin: Zoheth kod Ben-Zoheth.
Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
21 Yawuot Shela wuod Juda ne gin: Er ma wuon Leka, Laada ma wuon Maresha kod jo-anywola maloso lewni Beth Ashbea;
Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
22 Jokim, jo-Kozeba kod Joash gi Saraf mane jatend Moab kod Jashubi Leham. Weche mondikgi noyud koa e kitepe mag ndalo machon.
Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
23 Magi ne jo-chwe agulni mane odak Netaim kod Gedera, kendo negidak kanyo ka negitiyone ruoth.
Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
24 Nyikwa Simeon ne gin: Nemuel, Jamin, Jarib, Zera kod Shaul;
Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
25 Shaul nonywolo Shalum, Shalum nonywolo Mibsam, to Mibsam nonywolo Mishma.
Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
26 Joka Mishma ne gin: Hamuel nonywolo Zakur, Zakur nonywolo Shimei.
Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
27 Shimei ne nigi yawuowi apar gauchiel kod nyiri auchiel, owetene to ne onge gi nyithindo mangʼeny omiyo anywolagi duto ne ok obedo oganda maduongʼ kaka jo-Juda.
Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
28 Negidak Bersheba, Molada, Hazar Shual,
Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
29 Bilha, Ezem, Tolad,
Bilha, Esemu, Toladi,
30 Bethuel, Horma, Ziklag,
Bethueli, Horma, Siklagi,
31 Beth Makaboth, Hazar Susim, Beth Biro kod Sharaim. Magi ne miechgi nyaka chop kinde loch Daudi.
Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
32 Miechgi abich mamoko mane olworogi ne gin Etam, Ain, Rimon, Token kod Ashan,
Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
33 kaachiel gi gwenge duto mokiewo kodgi mag dak nyaka chopi Baalath. Magi ne miechgi mag dak. Kendo negindiko nonro margi:
pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
34 Meshobab, Jamlek, Josha wuod Amazia,
Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
35 Joel, Jehu wuod Joshibia, ma wuod Seraya ma wuod Asiel,
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
36 to gi Elioenai, Jakoba, Jeshohaya, Asaya, Adiel, Jesimiel, Benaya,
Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
37 kod Ziza wuod Shifi, ma wuod Alon, ma wuod Jedaya, wuod Shimri, wuod Shemaya.
Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
38 Chwo mondik nying-gi malogo ne jotelo mar anywolagi. Anywolagi nomedore ahinya
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
39 kendo negidak nyaka oko mar Gedor koma omanyore gi wuok chiengʼ mar holo ka gimanyo kar kwath ne jambgi.
wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
40 Neginwangʼo kuonde kwath mabeyo, piny ne lach kendo kwe ne nitie. Jo-Ham moko nodak kae mokwongo.
Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
41 Chwo ma nying-gi ondikgo nobiro e ndalo Hezekia ruodh Juda. Negimonjo jo-Ham kuma negidakie kod jo-Meun mane nitie kanyo ma gitiekogi duto mana kaka nyisore ratiro nyaka sani. Negidak ka nikech ne nitiere kar kwath ne jambgi.
Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
42 To ji mia abich kuom jo-Simeon, ka otelnigi gi Pelatia, Nearia, Refaya kod Uziel, ma yawuot Ishi ne omonjo piny got Seir.
Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
43 Neginego jo-Amalek mane otony odongʼ kendo pod gidak kanyo nyaka chil kawuono.
Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.

< 1 Weche Mag Ndalo 4 >