< 1 Weche Mag Ndalo 2 >
1 Magi e yawuot Israel: Reuben, Simeon, Lawi, Juda, Isakar, Zebulun,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Josef, Benjamin, Naftali, Gad kod Asher.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Yawuot Juda ne gin: Er, Onan kod Shela. Yawuowi adekgi nonywolo gi nyar jo-Kanaan mane nyar Shua. (Timbe Er ma kach Juda ne richo e wangʼ Jehova Nyasaye, omiyo Jehova Nyasaye nonege.)
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Chi wuod Juda ma Tamar nonywolone Perez kod Zera. Yawuot Juda duto ne gin yawuowi abich.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Yawuot Perez ne gin: Hezron kod Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Yawuot Zera ne gin: Zimri, Ethan, Heman, Kalkol kod Darda, ma gin yawuowi abich koriwore duto.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Wuod Karmi ne en: Akar mane okelo chandruok ne Israel kuom ketho chik mane orito gigo mowal.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Wuod Ethan ne en: Azaria.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Yawuowi mane Hezron onywolo ne gin: Jeramel, Ram kod Kaleb.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Ram nonywolo Aminadab, to Aminadab nonywolo Nashon mane jatelo mar jo-Juda.
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Nashon nonywolo Salmon, to Salmon nonywolo Boaz,
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Boaz nonywolo Obed, to Obed nonywolo Jesse.
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 Jesse nonywolo Eliab, wuode makayo; wuode mar ariyo Abinadab, mar adek Shimea,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 mar angʼwen Nethanel, mar abich, Radai,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 mar auchiel Ozem, to mar abiriyo Daudi.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Nyiminegi ne Zeruya kod Abigael. Yawuot Zeruya adek ne gin Abishai, Joab kod Asahel.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Abigael ne en min Amasa ma wuon-gi ne en Jetha ja-Ishmael.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Kaleb wuod Hezron ne nigi nyithindo mane onywolo gi chiege Azuba (ma bende ne iluongo ni Jerioth). Magi ema ne yawuote: Jesher, Shobab kod Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Kane Azuba otho, Kaleb nonywomo Efrath mane onywolone Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Hur ne onywolo Uri, to Uri ne onywolo Bezalel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Bangʼe achien, ka Hezron ne ja-higni piero auchiel ne okendo nyar Makir ma wuon Gilead. Nobedo e achiel kode ma nonywolone Segub.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Segub ne onywolo Jair, mane orito mier piero ariyo gadek man Gilead.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 (Kata kamono, Geshur kod Aram ne omako Havoth Jair, kaachiel gi Kenath kod kuonde mag dak molwore, mane gin mier piero auchiel). Magi duto ne gin nyikwa Makir wuon Gilead.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Kane Hezron osetho e Kaleb Efratha, Abija chi Hezron nonywolone Ashur wuon Tekoa.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Yawuot Jeramel wuod Hezron makayo ne gin: Ram wuode makayo, Buna, Oren, Ozem kod Ahija.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Jeramel ne nigi dhako machielo mane iluongo ni Atara, ne en min Onam.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 Yawuot Ram wuod Jeramel makayo ne gin: Maaz, Jamin kod Eker.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Yawuot Onam ne gin: Shamai kod Jada. Yawuot Shamai ne gin: Nadab kod Abishur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Chi Abishur ne iluongo ni Abihail mane onywolone Aban kod Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Yawuot Nadab ne gin: Seled kod Apaim. Seled notho maonge nyithindo.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Wuod Apaim ne en: Ishi mane wuon Sheshan. To Sheshan ne wuon Alai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Yawuot Jada owadgi Shamai ne gin: Jetha kod Jonathan. Jetha notho kaonge nyithindo.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Yawuot Jonathan ne gin: Peleth kod Zazar. Magi ema ne nyikwa Jeramel.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Sheshan ne onge gi yawuowi, nonywolo nyiri kende. Ne en gi misumba ma ja-Misri miluongo ni Jarha.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Jarha nokendo nyar Sheshan kendo nonywolone Atai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Atai nonywolo ne wuon Nathan, to Nathan ne wuon Zabad,
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Zabad ne wuon Eflal, to Eflal ne wuon Obed,
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Obed ne wuon Jehu, to Jehu ne wuon Azaria,
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Azaria ne wuon Helez, Helez ne wuon Eliasa,
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Eliasa ne wuon Sismai, Sismai ne wuon Shalum,
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Shalum ne wuon Jekamia, to Jekamia ne wuon Elishama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Yawuot Kaleb owadgi Jeramel ne gin: Mesha mane wuode makayo mane wuon Zif to gi wuode Maresha mane en wuon Hebron.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Yawuot Hebron ne gin: Kora, Tapua, Rekem kod Shema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Shema nonywolo Raham, to Raham nonywolo Jorkeam. Rekem ne wuon Shamai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Wuod Shamai ne en Maon, to Maon ne wuon Beth Zur.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Chi Kaleb machielo ma nyinge Efa ne min Haran, Moza kod Gazez. Haran ne wuon Gazez.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Yawuot Jadai ne gin: Ragem, Jotham, Geshan, Pelet, Efa kod Shaf.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Chi Kaleb machielo ma nyinge Maaka ne min Sheba kod Tirhana.
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 En bende nonywolo Shaf mane wuon Madmana to Sheva nonywolo Makbena kod Gibea. Nyar Kaleb niluongo ni Aksa.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Jogo duto ema ne nyikwa Kaleb. Yawuot Hur wuod Efratha makayo ne gin: Shobal wuon Kiriath Jearim,
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma wuon Bethlehem kod Haref wuon Beth Gader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Nyikwa Shobal wuon Kiriath Jearim ne gin, Haroe mane nus jo-Manahath,
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 to anywola Kiriath Jearim ne gin: jo-Ithri, jo-Puthi, jo-Shumath kod Mishrai. Kuomgi ema ne jo-Zorath gi jo-Eshtaol owuokie.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Nyikwa Salma ne gin: jo-Bethlehem, jo-Netofath; Atroth Beth Joab, nus jo-Manahath, jo-Zor,
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 kod anywola mar jondiko mane odak Jabez: jo-Tira, jo-Shimea kod jo-Suka. Magi ne jo-Keni mane owuok e anywola mar Hamath, ma wuon jo-Rekab.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.