< Højsangen 3 >

1 På mit Leje om Natten søgte Ham, som min Sjæl har kær, jeg søgte, men fandt ham ikke.
Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
2 "Så står jeg op og går om i Byen, om På dens Gader og Torve og søger ham, som min Sjæl har kær. "Jeg søgte, men fandt ham ikke.
Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
3 Vægterne, som færdes i Byen, traf mig: "Så I mon ham, som min Sjæl har kær?"
Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
4 Knap var jeg kommet forbi dem, så fandt jeg ham, som min Sjæl har kær; jeg greb ham og slap ham ikke, før jeg fik ham ind i min Moders Hus, i hendes Kammer, som fødte mig.
Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
5 Jeg besværger eder, Jerusalems Døtre, ved Gazeller og Markens Hjorte: Gør ikke Kærligheden Uro, væk den ikke, før den ønsker det selv!
Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
6 Hvad er det, som kommer fra Ørkenen i Støtter af Røg, omduftet af Myrra og Røgelse, alskens Vellugt?
Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
7 Se, det er Salomos Bærestol, omgivet af tresindstyve Helte, Israels Helte,
Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
8 alle med Sværd i Hånd, oplærte til Krig, hver med sit Sværd ved Lænd mod Nattens Rædsler.
Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
9 Kong Salomo laved sig en Bærekarm af Træ fra Libanon,
Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
10 gjorde dens Støtter af Sølv, dens Arme af Guld; i Midten er Ibenholt indlagt, Sædet er Purpur.
Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
11 Jerusalems Døtre, gå ud og se på Kong Salomo, på Kronen, hans Moder kroned ham med på hans Brudefærds Dag, hans Hjertens Glædes Dag!
Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.

< Højsangen 3 >