< Romerne 3 >
1 Hvad er da Jødens Fortrin? eller hvad gavner Omskærelsen?
Kisha ni faida gani aliyo nayo Myahudi? Na faida ya tohara ni nini?
2 Meget alle Måder; først nemlig dette, at Guds Ord ere blevne dem betroede.
Ni vyema sana kwa kila njia. Awali ya yote, Wayahudi walikabidhiwa ufunuo kutoka kwa Mungu.
3 Thi hvad? om nogle vare utro, skal da deres Utroskab gøre Guds Trofasthed til intet?
Lakini, itakuwaje iwapo baadhi ya Wayahudi hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kutafanya uaminifu wa Mungu kuwa batili?
4 Det være langt fra! Gud må være sanddru, om end hvert Menneske er en Løgner, som der er skrevet: "For at du må kendes retfærdig i dine Ord og vinde, når du går i Rette."
La hasha. Badala yake, acha Mungu aonekane kuwa kweli, hata kama kila mtu ni mwongo. Kama ilivyokuwa imeandikwa, “Ya kwamba uweze kuonekana kuwa mwenye haki katika maneno yako, na uweze kushinda uingiapo katika hukumu.”
5 Men dersom vor Uretfærdighed beviser Guds Retfærdighed, hvad skulle vi da sige? er Gud da uretfærdig, han, som lader sin Vrede komme? (Jeg taler efter menneskelig Vis).
Lakini ikiwa uovu wetu unaonesha haki ya Mungu, tuseme nini? Mungu si dhalimu atoapo ghadhabu yake, je yupo hivyo? Naongea kutokana na mantiki ya kibinadamu.
6 Det være langt fra! Thi hvorledes skal Gud ellers kunne dømme Verden?
La hasha! Ni jinsi gani basi Mungu atauhukumu ulimwengu?
7 Men dersom Guds Sanddruhed ved min Løgn er bleven ham end mere til Forherligelse, hvorfor dømmes da jeg endnu som en Synder?
Lakini ikiwa kweli ya Mungu kupitia uongo wangu hutoa sifa tele kwa ajili yake, kwa nini ningali bado nahukumiwa kama mwenye dhambi?
8 Og hvorfor skulde vi da ikke, som man bagvasker os for, og som nogle sige, at vi lære, gøre det onde, for at det gode kan komme deraf? Sådannes Dom er velforskyldt.
Kwa nini tusiseme, kama tulivyosingiziwa na kama wengine wanavyothibitisha kwamba tunasema, “Tufanye uovu, ili mema yaje”? Hukumu juu yao ni ya haki.
9 Hvad da? have vi noget forud? Aldeles ikke; vi have jo ovenfor anklaget både Jøder og Grækere for alle at være under Synd,
Ni nini basi? Tunajitetea wenyewe? Hapana kabisa. Kwa kuwa sisi tayari tumewatuhumu Wayahudi na Wayunani wote pamoja, ya kuwa wapo chini ya dhambi.
10 som der er skrevet: "Der er ingen retfærdig, end ikke een;
Hii ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hata mmoja.
11 der er ingen forstandig, der er ingen, som søger efter Gud;
Hakuna mtu ambaye anaelewa. Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu.
12 alle ere afvegne, til Hobe ere de blevne uduelige, der er ingen, som øver Godhed, der er end ikke een."
Wote wamegeuka. Wao kwa pamoja wamekuwa hawana maana. Hakuna atendaye mema, la, hata mmoja.
13 "En åbnet Grav er deres Strube; med deres Tunger øvede de Svig;" "der er Slangegift under deres Læber;"
Makoo yao ni kaburi lililo wazi. Ndimi zao zimedanganya. Sumu ya nyoka ipo chini ya midomo yao.
14 "deres Mund er fuld af Forbandelse og Beskhed;"
Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.
15 "rappe ere deres Fødder til at udøse Blod;
Miguu yao ina mbio kumwaga damu.
16 der er Ødelæggelse og Elendighed på deres Veje,
Uharibifu na mateso yapo katika njia zao.
17 og Freds Vej have de ikke kendt."
Watu hawa hawajajua njia ya amani.
18 "Der er ikke Gudsfrygt for deres Øjne."
Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao.”
19 Men vi vide, at alt, hvad Loven siger, taler den til dem, som ere under Loven, for at hver Mund skal stoppes og hele Verden blive strafskyldig for Gud,
Sasa tunajua kwamba chochote sheria isemacho, husema na wale walio chini ya sheria. Hii ni ili kwamba kila kinywa kifungwe, na hivyo kwamba ulimwengu wote uweze kuwajibika kwa Mungu.
20 efterdi intet Kød vil blive retfærdiggjort for ham af Lovens Gerninger; thi ved Loven kommer Erkendelse af Synd.
Hii ni kwa sababu hakuna mwili utakaohesabiwa haki kwa matendo ya sheria mbele za macho yake. Kwa kuwa kupitia Sheria huja ufahamu wa dhambi.
21 Men nu er uden Lov Guds Retfærdighed åbenbaret, om hvilken der vidnes af Loven og Profeterne.
Lakini sasa pasipo sheria, haki ya Mungu imejulikana. Ilishuhudiwa kwa sheria na Manabii,
22 nemlig Guds Retfærdighed ved Tro på Jesus Kristus, for alle og over alle dem, som tro; thi der er ikke Forskel.
hiyo ni, haki ya Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo kwa wale wote wanaoamini. Maana hakuna tofauti.
23 Alle have jo syndet, og dem fattes Æren fra Gud,
Kwa kuwa wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
24 og de blive retfærdiggjorte uforskyldt af hans Nåde ved den Forløsning, som er i Kristus Jesus,
Wamehesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
25 hvem Gud fremstillede som Sonemiddel ved Troen på hans Blod for at vise sin Retfærdighed, fordi Gud i sin Langmodighed havde båret over med de forhen begåede Synder,
Kwa maana Mungu alimtoa Kristo Yesu awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alimtoa Kristo kama ushahidi wa haki yake, kwa sababu ya kuziachilia dhambi zilizopita
26 for at vise sin Retfærdighed i den nærværende Tid, for at han kunde være retfærdig og retfærdiggøre den, som er af Tro på Jesus.
katika uvumilivu wake. Haya yote yalitokea ili kuonesha haki yake wakati huu wa sasa. Hii ilikuwa ili aweze kujithibitisha mwenyewe kuwa haki, na kuonesha kwamba humhesabia haki mtu yeyote kwa sababu ya imani katika Yesu.
27 Hvor er så vor Ros? Den er udelukket. Ved hvilken Lov? Gerningernes? Nej, men ved Troens Lov.
Kuwapi basi kujisifu? Kumetengwa. Kwa misingi ipi? Misingi ya matendo? Hapana, lakini kwa misingi ya imani.
28 Vi holde nemlig for, at Mennesket bliver retfærdiggjort ved Tro, uden Lovens Gerninger.
Hivyo tunahitimisha kwamba mtu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.
29 Eller er Gud alene Jøders Gud? mon ikke også Hedningers? Jo, også Hedningers;
Au Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? Je yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Ndiyo, wa mataifa pia.
30 så sandt som Gud er een og vil retfærdiggøre omskårne af Tro og uomskårne ved Troen.
Ikiwa kwa kweli Mungu ni mmoja, atawahesabia haki walio wa tohara kwa imani, na wasiotahiriwa kwa njia ya imani.
31 Gøre vi da Loven til intet ved Troen? Det være langt fra! Nej, vi hævde Loven.
Je sisi twaibatilisha sheria kwa imani? La hasha! Kinyume cha hayo, sisi twaithibitisha sheria.