< Salme 44 >

1 (Til sangmesteren. Af Koras sønner. En maskil.) Gud, vi har hørt det med egne ører, vore Fædre har fortalt os derom; du øved en Dåd i deres Dage, i Fortids Dage med din Hånd;
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Folk drev du bort, men plantede hine, Folkeslag knuste du, men dem lod du brede sig;
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 thi de fik ej Landet i Eje med Sværdet, det var ej deres Arm, der gav dem Sejr, men det var din højre, din Arm og dit Ansigts Lys, thi du havde dem kær.
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 Du, du er min Konge, min Gud, som sender Jakob Sejr.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Ved dig nedstøder vi Fjenden, Modstanderne træder vi ned i dit Navn;
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 thi ej på min Bue stoler jeg, mit Sværd kan ikke give mig Sejr;
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 men du gav os Sejr over Fjenden, du lod vore Avindsmænd blive til Skamme.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 Vi roser os altid af Gud, dit Navn vil vi love for evigt. (Sela)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Dog har du forstødt os, gjort os til Spot, du drager ej med vore Hære;
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 du lader os vige for Fjenden, vore Avindsmænd tager sig Bytte;
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 du har givet os hen som Slagtekvæg, og strøet os ud mellem Folkene,
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 dit Folk har du solgt til Spotpris, vandt ikke Rigdom ved Salget.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Til Hån for Naboer gør du os, til Spot og Spe for Grander,
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 du gør os til Mundheld blandt Folkene, lader Folkeslagene ryste på Hovedet ad os.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 Min Skændsel er mig altid i Tanke, og Skam bedækker mit Åsyn
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 for spottende, hånende Tale, for Fjendens og den hævngerriges Blikke.
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 Alt det kom over os, skønt vi glemte dig ikke, sveg ikke heller din Pagt!
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Vort Hjerte veg ikke fra dig, vore Skridt forlod ej din Vej.
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 Dog knuste du os, hvor Sjakalerne bor, og indhylled os i Mørke.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Havde vi glemt vor Guds Navn, bredt Hænderne ud mod en fremmed Gud,
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 vilde Gud ej opspore det? Han kender jo Hjerternes Løn dom
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 nej, for din Skyld dræbes vi Dagen lang og regnes som Slagtekvæg!
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 Vågn op, hvi sover du, Herre? Bliv vågen, forstød ej for stedse!
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Hvorfor vil du skjule dit Åsyn, glemme vor Nød og Trængsel?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Thi vor Sjæl ligger bøjet i Støvet, vort Legeme klæber ved Jorden.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Stå op og kom os til Hjælp, forløs os for din Miskundheds Skyld!
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

< Salme 44 >