< Salme 22 >
1 (Til sangmesteren. Efter "morgenrødens hind". En salme af David.) Min Gud, min Gud, hvorfor har du forladt mig? Mit Skrig til Trods er Frelsen mig fjern.
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 Min Gud, jeg råber om Dagen, du svarer ikke, om Natten, men finder ej Hvile.
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 Og dog er du den hellige, som troner på Israels Lovsange.
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 På dig forlod vore Fædre sig, forlod sig, og du friede dem;
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 de råbte til dig og frelstes, forlod sig på dig og blev ikke til Skamme.
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 Men jeg er en Orm og ikke en Mand, til Spot for Mennesker, Folk til Spe;
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 alle, der ser mig, håner mig, vrænger Mund og ryster på Hovedet:
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
8 "Han har væltet sin Sag på HERREN; han fri ham og frelse ham, han har jo Velbehag i ham."
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
9 Ja, du drog mig af Moders Liv, lod mig hvile trygt ved min Moders Bryst;
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
10 på dig blev jeg kastet fra Moders Skød, fra Moders Liv var du min Gud.
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
11 Vær mig ikke fjern, thi Trængslen er nær, og ingen er der, som hjælper!
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
12 Stærke Tyre står omkring mig, Basans vældige omringer mig,
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
13 spiler Gabet op imod mig som rovgridske, brølende Løver.
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
14 Jeg er som Vand, der er udgydt, alle mine Knogler skilles, mit Hjerte er blevet som Voks, det smelter i Livet på mig;
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
15 min Gane er tør som et Potteskår til Gummerne klæber min Tunge, du lægger mig ned i Dødens Støv.
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
16 Thi Hunde står omkring mig, onde i Flok omringer mig, de har gennemboret mine Hænder og Fødder,
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 jeg kan tælle alle mine Ben; med Skadefryd ser de på mig.
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
18 Mine Klæder deler de mellem sig, om Kjortelen kaster de Lod.
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
19 Men du, o HERRE, vær ikke fjern, min Redning, il mig til Hjælp!
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
20 Udfri min Sjæl fra Sværdet, min eneste af Hundes Vold!
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
21 Frels mig fra Løvens Gab, fra Vildoksens Horn! Du har bønhørt mig.
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22 Dit Navn vil jeg kundgøre for mine Brødre, prise dig midt i Forsamlingen:
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
23 "I, som frygter HERREN, pris ham, ær ham; al Jakobs Æt, bæv for ham, al Israels Æt!
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
24 Thi han foragtede ikke, forsmåede ikke den armes Råb, skjulte ikke sit Åsyn for ham, men hørte, da han råbte til ham!"
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Jeg vil synge din Pris i en stor Forsamling, indfri mine Løfter iblandt de fromme;
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 de ydmyge skal spise og mættes; hvo HERREN søger, skal prise ham; deres Hjerte leve for evigt!
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
27 Den vide Jord skal mærke sig det og omvende sig til HERREN, og alle Folkenes Slægter skal tilbede for hans Åsyn;
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
28 thi HERRENs er Riget, han er Folkenes Hersker.
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
29 De skal tilbede ham alene, alle Jordens mægtige; de skal bøje sig for hans Åsyn, alle, der nedsteg i Støvet og ikke holdt deres Sjæl i Live.
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
30 Ham skal Efterkommeme tjene; om HERREN skal tales til Slægten, der kommer;
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
31 de skal forkynde et Folk, der fødes, hans Retfærd. Thi han greb ind.
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!