< Ordsprogene 23 >
1 Når du sidder til bords hos en Stormand, mærk dig da nøje, hvem du har for dig,
Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
2 og sæt dig en Kniv på Struben, i Fald du er alt for sulten.
na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3 Attrå ikke hans lækre Retter, thi det er svigefuld kost.
Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4 Slid dig ikke op for at vinde dig Rigdom, brug ej din Forstand dertil!
Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5 Skal dit Blik flyve efter den uden at finde den? Visselig gør den sig Vinger som Ørnen, der flyver mod Himlen.
Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
6 Spis ej den misundeliges Brød, attrå ikke hans lækre Retter;
Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
7 thi han sidder med karrige Tanker; han siger til dig: "Spis og drik!" men hans Hjerte er ikke med dig.
maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
8 Den Bid, du har spist, må du udspy, du spilder dine fagre Ord.
Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
9 Tal ikke for Tåbens Ører, thi din kloge Tale agter han ringe.
Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
10 Flyt ej ældgamle Skel, kom ikke på faderløses Mark;
Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
11 thi deres Løser er stærk, han fører deres Sag imod dig.
maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
12 Vend dit Hjerte til Tugt, dit Øre til Kundskabs Ord.
Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
13 Spar ej Drengen for Tugt; når du slår ham med Riset, undgår han Døden;
Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
14 du slår ham vel med Riset, men redder hans Liv fra Dødsriget. (Sheol )
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
15 Min Søn, er dit Hjerte viist, så glæder mit Hjerte sig også,
Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
16 og mine Nyrer jubler, når dine Læber taler, hvad ret er!
sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
17 Dit Hjerte være ikke skinsygt på Syndere, men stadig ivrigt i HERRENs Frygt;
Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
18 en Fremtid har du visselig da, dit Håb bliver ikke til intet.
Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
19 Hør, min Søn, og bliv viis, lad dit Hjerte gå den lige Vej.
Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
20 Hør ikke til dem, der svælger i Vin, eller dem, der frådser i Kød;
Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
21 thi Dranker og Frådser forarmes, Søvn giver lasede Klæder.
maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
22 Hør din Fader, som avlede dig, ringeagt ikke din gamle Moder!
Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
23 Køb Sandhed og sælg den ikke, Visdom, Tugt og Forstand.
Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
24 Den retfærdiges Fader jubler; har man avlet en Vismand, glædes man ved ham;
Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
25 din Fader og Moder glæde sig, hun, der fødte dig, juble!
Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
26 Giv mig dit Hjerte, min Søn, og lad dine Øjne synes om mine Veje!
Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
27 Thi en bundløs Grav er Skøgen, den fremmede Kvinde, en snæver Brønd;
Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
28 ja, som en Stimand ligger hun på Lur og øger de troløses Tal blandt Mennesker.
Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
29 Hvem har Ak, og hvem har Ve, hvem har Kiv, og hvem har Klage? Hvem har Sår uden Grund, hvem har sløve Øjne?
Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
30 De, som sidder sent over Vinen, som kommer for at smage den stærke Drik.
Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
31 Se ikke til Vinen, hvor rød den er, hvorledes den perler i Bægeret; den glider så glat,
Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
32 men bider til sidst som en Slange og spyr sin Gift som en Øgle;
Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
33 dine Øjne skuer de sælsomste Ting, og bagvendt taler dit Hjerte;
Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
34 du har det, som lå du midt i Havet, som lå du oppe på en Mastetop.
Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
35 "De slog mig, jeg følte ej Smerte, gav mig Hug, jeg mærked det ikke; når engang jeg vågner igen, så søger jeg atter til Vinen!"
Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”