< 4 Mosebog 7 >
1 Da Moses var færdig med at rejese Boligen og havde salvet og helliget den med alt dens Tilbehør og ligeledes salvet og helliget Alteret med alt dets Tilbehør,
Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuiweka wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.
2 trådte Israels Øverster, Overhovederne for deres Fædrenehuse, Stammernes Øverster, der havde forestået Mønstringen, frem
Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka.
3 og førte deres Offergave frem for HERRENs Åsyn, seks lukkede Vogne og tolv Stykker Hornkvæg, en Vogn for hver to Øverster og et Stykke Hornkvæg for hver een, og de bragte dem hen foran Boligen.
Walizileta kama matoleo yao mbele za Bwana: magari sita ya kukokotwa yaliyofunikwa, pamoja na maksai kumi na wawili; yaani maksai mmoja kutoka kwa kila kiongozi, na gari moja la kukokotwa kutoka kwa kila viongozi wawili. Haya waliyaleta mbele ya Maskani.
4 Da sagde HERREN til Moses:
Bwana akamwambia Mose,
5 Modtag dette af dem, for at det kan bruges til Arbejdet ved Åbenbaringsteltet, og giv Leviterne det med Henblik på hver enkeltes særlige Arbejde!
“Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”
6 Så modtog Moses Vognene og Hornkvæget og gav Leviterne dem.
Hivyo Mose akachukua yale magari ya kukokotwa pamoja na maksai, na kuwapa Walawi.
7 To Vogne og fire Stykker Hornkvæg gav han Gersoniterne med Henblik på deres særlige Arbejde,
Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,
8 og fire Vogne og otte Stykker Hornkvæg gav han Merariterne med Henblik på deres særlige Arbejde under Itamars, Præsten Arons Søns, Ledelse.
na pia aliwapa Wamerari magari manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.
9 Derimod gav han ikke Kebatiterne noget, thi dem var Arbejdet med de hellige Ting overdraget, og de skulde bære dem på Skuldrene.
Lakini Mose hakuwapa Wakohathi chochote kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba vitu vitakatifu mabegani mwao, vile walikuwa wanawajibika.
10 Fremdeles bragte Øversterne Offergaver til Alterets indvielse, dengang det blev salvet, og Øversterne bragte deres Offergaver hen foran Alteret.
Wakati madhabahu yalitiwa mafuta, viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya madhabahu.
11 Da sagde HERREN til Moses: Lad hver af Øversterne få sin Dag til at bringe sin Offergave til Alterets Indvielse.
Kwa maana Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”
12 Den, som første Dag bragte sin Offergave, var Nahasjon, Amminadabs Søn af Judas Stamme.
Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
13 Og hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
14 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
15 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
16 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
17 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Nahasjons, Amminadabs Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 Anden Dag bragte Netanel, Zuars Søn, Issakars Øverste, sin Offergave;
Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.
19 han bragte som Offergave et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
20 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
21 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
22 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
23 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Neanels, Zuars Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Suari.
24 Tredje Dag kom Zebuloniternes Øverste, Eliab, Helons Søn;
Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.
25 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
26 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
27 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
28 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
29 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Eliabs, Helons Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni.
30 Fjerde Dag kom Rubeniternes Øverste, Elizur, Sjedeurs Søn;
Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.
31 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
32 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
34 et årgammelt Lam til Brændoffer, en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
35 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Elizurs, Sjødeurs Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.
36 Femte Dag kom Simenoiternes Øverste, Sjelumiel, Zurisjaddajs Søn;
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
37 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
38 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
39 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
40 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
41 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke. og fem årgamle Lam. Det var Sjelumiels, Zurisjaddajs Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.
42 Sjette Dag kom Gaditernes Øverste, Eljasaf, Deuels Søn;
Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.
43 hans Offergaver et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
44 en Kande på lO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
45 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
46 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
47 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Eljasafs, Deuels Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.
48 Syvende Dag kom Efraimiternes Øverste, Elisjama, Ammihuds Søn:
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
49 hans offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
50 en Kande på lO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
51 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
52 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
53 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Elisjamas, Ammihuds Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.
54 Ottende Dag kom Mannassiternes Øverste, Gamliel, Pedazurs Søn;
Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.
55 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
56 en Kande på lO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
57 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
58 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
59 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Gamliels, Pedazurs Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.
60 Niende dag kom Benjaminiternes Øverste, Abidan, Gidonis Søn;
Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.
61 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
62 en Kande på IO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
63 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
64 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
65 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem, Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Abidans, Gidonis Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.
66 Tiende Dag kom Daniternes Øverste, Ahiezer, Ammisjaddajs Søn;
Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.
67 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
68 en Kande på lO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
69 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
70 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
71 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Ahiezers, Ammisjaddajs Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.
72 Elevte Dag kom Aseriternes Øverste, Pagiel, Okrans Søn;
Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
73 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
74 en Kande på 10 Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
75 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
76 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
77 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Pagiels, Okrans Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 Tolvte Dag kom Naftaliternes Øverste, Ahira, Enans Søn;
Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
79 hans Offergave var et Sølvfad, der vejede 130 Sekel, og en Sølvskål på 70 Sekel efter hellig Vægt, begge fyldte med fint Hvedemel, rørt i Olie, til Afgrødeoffer,
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
80 en kande på lO Guldsekel, fyldt med Røgelse,
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
81 en ung Tyr, en Væder, et årgammelt Lam til Brændoffer,
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
82 en Gedebuk til Syndoffer
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
83 og til Takoffer to Stykker Hornkvæg, fem Vædre, fem Bukke og fem årgamle Lam. Det var Ahiras, Enans Søns, Offergave.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani.
84 Det var Gaverne fra Israelitternes Øverster til Alterets Indvielse, dengang det blev salvet: 12 Sølvfade, 12 Sølvskåle, 12 Guldkander,
Hizi ndizo zilikuwa sadaka za viongozi wa Israeli madhabahu yalipowekwa wakfu, wakati yalitiwa mafuta: sahani kumi na mbili za fedha, bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia, na masinia kumi na mawili ya dhahabu.
85 hvert Sølvfad på 130 Sekel og hver Sølvskål på 70 Sekel, alle Sølvkar tilsammen 2400 Sekel efter hellig Vægt;
Kila sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli 130, na kila bakuli la fedha la kunyunyizia lilikuwa na uzito wa shekeli sabini. Masinia yote kumi na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
86 12 Guldkander, fyldte med Røgelse, hver på 10 Sekel efter hellig Vægt, alle Guldkander tilsammen 120 Sekel.
Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120.
87 Kvæget til Brændofferet var i alt 12 unge Tyre, 12 Vædre, 12 årgamle Lam med tilhørende Afgrødeofre, 12 Gedebukke til Syndoffer;
Jumla ya wanyama waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, kondoo dume kumi na wawili na wana-kondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja, pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi.
88 Kvæget til Takofferet var i alt 24 unge Tyre, 60 Vædre, 60 Bukke og 60 årgamle lam. Det var Gaverne til Alterets indvielse, efter at det var salvet.
Jumla ya wanyama kwa ajili ya dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai ishirini na wanne, kondoo dume sitini, mbuzi dume wa mwaka mmoja sitini na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja sitini. Hizi ndizo zilikuwa sadaka zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu baada ya kutiwa mafuta.
89 Da Moses gik ind i Åbenbaringsteltet for at tale med HERREN, hørte han Røsten tale til sig fra Sonedækket oven over Vidnesbyrdets Ark, fra Pladsen mellem de to Keruber. Og han talede til ham.
Mose alipoingia kwenye Hema la Kukutania kuzungumza na Bwana, alisikia sauti ikisema naye kutoka kati ya wale makerubi wawili waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya Sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza naye.