< Mikas 2 >

1 Ve dem, der på Lejet udtænker Uret og Udåd, og sætter det i Værk, når det dages, da det står i deres Magt.
Ole kwa wale wapangao uovu, kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani mwao! Kunapopambazuka wanalitimiza kwa sababu uko katika uwezo wao kutekeleza.
2 De attrår Marker og raner dem, Huse og tager dem, undertrykker Mand og Hus, Ejendom og Ejer.
Wanatamani mashamba na kuyakamata, pia nyumba na kuzichukua. Wanamlaghai mwanaume nyumba yake, mwanadamu mwenzake urithi wake.
3 Derfor, så siger HERREN: Se, jeg optænker Ulykke mod denne Slægt, fra hvilken l ikke skal kunne fri eders Hals eller gå med oprejst Hoved; thi en ond Tid er det.
Kwa hiyo, Bwana asema: “Ninapanga maangamizi dhidi ya watu hawa, ambayo hamwezi kujiokoa wenyewe. Hamtatembea tena kwa majivuno, kwa kuwa utakuwa ni wakati wa maafa.
4 På denne Dag skal der bruges et Mundheld om jer og klages: "Sket som talt! Vi er helt lagt øde; mit Folk får sin Lod skiftet ud, ingen giver den tilbage; vor Mark skiftes ud til dem, som fører os bort."
Siku hiyo watu watawadhihaki, watawafanyia mzaha kwa wimbo huu wa maombolezo: ‘Tumeangamizwa kabisa; mali ya watu wangu imegawanywa. Ameninyangʼanya! Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’”
5 Derfor har du ingen til at udspænde Snoren over en Lod i HERRENs Forsamling.
Kwa hiyo hutakuwa na yeyote katika kusanyiko la Bwana wa kugawanya mashamba kwa kura.
6 "Præk ikke!" så præker de, "man præker ikke om sligt; får hans Smæden ej Ende?" Hvad siger du, Jakobs Hus?
Manabii wao husema, “Usitabiri. Usitabiri kuhusu vitu hivi; aibu haitatupata.”
7 "Er HERREN da hastig til Vrede, handler han så? Er hans Ord ej milde mod den, som vandrer ret?"
Je, ingesemwa, ee nyumba ya Yakobo: “Je, Roho wa Bwana amekasirika? Je, yeye hufanya vitu kama hivyo?” “Je, maneno yangu hayamfanyii mema yeye ambaye njia zake ni nyofu?
8 Men I er fjendske imod, på Nakken af mit Folk; Kappen over Kjortelen river l af dem, som vandrer trygt og afskyr Strid.
Siku hizi watu wangu wameinuka kama adui. Unawavua joho la kitajiri wale wanaopita pasipo kujali, kama watu warudio kutoka vitani.
9 Mit Folks Kvinder driver l ud af det Hjem, de holdt af, I tager for evigt min Ære fra deres Børn:
Unawahamisha wanawake wa watu wangu kutoka kwenye nyumba zao za kupendeza. Unaondoa baraka yangu kwa watoto wao milele.
10 "Op, ryk ud! Thi her kan I ikke bo for den Urenheds Skyld, som volder svar Fordærv."
Inuka, nenda zako! Kwa maana hapa sio mahali pako pa kupumzikia, kwa sababu pametiwa unajisi, pameharibiwa, wala hapatengenezeki tena.
11 I Fald der kom en Mand med Tomhed og Svig og Løgn: "Jeg vil præke for dig om Vin og Drik!" det var en Præker for dette Folk.
Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema, ‘Nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’ angekuwa ndiye nabii anayekubalika na watu hawa!
12 Jeg vil samle dig, hele Jakob, opsanke Israels Rest, få dem sammen som Får i Fold, som en Hjord i Græsgangens Midte; af Mennesker bliver der en Summen.
“Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo, Hakika nitawaleta pamoja mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo ndani ya zizi, kama kundi kwenye malisho yake, mahali hapa patakuwa na msongamano wa watu.
13 En Vejbryder går foran dem; de bryder gennem Porten og går ud. Foran dem skrider deres Konge og HERREN i Spidsen for dem.
Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Bwana atakuwa kiongozi.”

< Mikas 2 >