< Malakias 4 >
1 Thi se, Dagen kommer, luende som en Ovn; og alle de frække og alle, som øver Gudløshed, skal blive som Strå, og Dagen, som kommer, skal lade dem gå op i Luer, siger Hærskarers HERRE, så der ikke levnes Rod eller Gren at dem.
“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.
2 Men for eder, som frygter mit Navn, skal Retfærds Sol opgå med Lægedom under sine Vinger, og I skal gå ud og boltre eder som Kalve, der kommer fra Stalden,
Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini.
3 og trampe de gudløse ned; thi de skal blive til Støv under eders Fodsåler, den bag jeg griber ind, siger Hærskarers HERRE.
Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 Kom min Tjener Moses's Lov i Hu, hvem jeg pålagde Vedtægter og Lovbud om alt Israel på Horeb.
“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.
5 Se, jeg sender eder Profeten Elias, før HERRENs store og frygtelige Dag kommer.
“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana.
6 Han skal vende Fædrenes Hjerte til Sønnerne og Sønnernes til Fædrene, at jeg ikke skal komme og slå Landet med Band.
Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”