< Jonas 1 >

1 HERRENs Ord kom til Jonas, Amittajs Søn, således:
Ndipo neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amittai, kusema,
2 "Stå op og gå til Nineve, den store Stad, udråb over den, at deres Ondskab er kommet op for mit Åsyn."
“Simama uende Ninawi, mji kuu, na ukapaze sauti dhidi yake, kwa sababu uovu wao umeinuka mbele yangu.”
3 Men Jonas stod op for at fly fra HERRENs Åsyn til Tarsis. Han drog ned til Jafo, og da han fandt et Skib, som skulde til Tarsis betalte han, hvad Rejsen kostede, og gik om Bord for at sejle med til Tarsis bort fra HERRENs Åsyn.
Lakini Yona akaondoka kukimbia kutoka mbele ya Bwana na kwenda Tarshishi. Akatelemka mpaka Yafa na akaona melikebu inayokwenda Tarshishi. Kwa hiyo alilipa nauli na akapanda melikebu kwenda nayo Tarishishi, mbali na uwepo wa Yahweh.
4 Men HERREN Iod et stærkt Vejr fare hen over Havet, og en stærk Storm rejste sig på Havet, så Skibet var ved at gå under.
Lakini Bwana akatuma upepo mkubwa juu ya bahari, ikawa tufani juu ya bahari. Hivi karibuni ikaonekana kwamba meli ilikuwa inataka kuvunjika.
5 Sømændene blev rædde og råbte hver til sin Gud, og de kastede alle Sager i Skibet over Bord for at lette det. Men Jonas var gået ned i det underste Skibsrum og lå i dyb Søvn dernede.
Wale baharia waliogopa sana na kila mtu alilia kwa mungu wake mwenyewe. Wakatupa mizigo bahari iliyokuwa merikebuni ili kuifungua. Yona alikuwa ameshuka hapa pande za ndani ya melikebu, naye alikuwa amelala huko usingizi.
6 Skibsføreren gik da ned til ham og sagde: "Hvor kan du sove? Stå op og råb til din Gud! Måske vil Gud komme os i Hu, så vi ikke omkommer."
Basi nahoza akamwendea akamwambia, “kwa nini unalala? Amka! ukamwombe mungu wako! Labda mungu wako atatutambua na hatutapotea.”
7 Så sagde de til hverandre: "Kom, lad os kaste Lod for at få at vide, hvem der er Skyld i, at denne Ulykke er tilstødt os!" Og de kastede Lod, og Loddet ramte Jonas.
Wote wakaambiana, 'Njoni, tupige kura, ili tujue ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata.' Basi wakapiga kura, na kura ikaangukia kwa Yona.
8 Da sagde de til ham: "Sig os, hvem der er Skyld i, at denne Ulykke er tilstødt os! Hvad er du, og hvor kommer du fra? Hvilket Land er du fra, og hvilket Folk hører du til?"
Kisha wakamwambia Yona, “Tafadhali tuambie ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata. Unafanya kazi gani, na umetoka wapi? Nchi yako ni ipi, na kutoka kwa watu wa kabila gani?”
9 Han svarede: "Jeg er Hebræer, og jeg frygter HERREN, Himmelens Gud, som har skabt Havet og det tørre Land."
Yona akawaambia, Mimi ni Mhebrania; Nami namuogopa Bwana, Mungu wa mbinguni, aliyeifanya bahari na nchi kavu.
10 Så grebes Mændene af stor Rædsel og sagde til ham: "Hvad har du gjort!" Thi de fik at vide, at han flyede fra HERRENs Åsyn; det sagde han dem.
Ndipo watu hao waliogopa zaidi, wakamwambia Yona, Ni jambo gani hili ulilolifanya? Kwa maana hao watu walijua kwamba alikuwa akikimbia mbele ya Bwana, kwa sababu alikuwa amewaambia.
11 Og de spurgte ham: "Hvad skal vi gøre med dig, så vi får Havet til at lægge sig? Thi det rejser sig mere og mere."
Ndipo wakamwambia Yona, Tukufanyie nini ili bahari iweze kutulia? Kwa maana bahari ilikuwa imechafuka zaidi na zaidi.
12 Han svarede: "Tag og kast mig i Havet! Så får I det til at lægge sig; thi jeg ved, at jeg er Skyld i, at dette stærke Vejr er over eder."
Yona akawaambia, “Nikamateni na nitupeni baharini. Kisha bahari itatulia kwa ajili yenu, kwa maana najua kwamba ni kwa sababu yangu kwamba tufani hii kubwa iwapate.”
13 Mændene søgte nu at ro tilbage til Land, men kunde ikke, da Havet rejste sig mere og mere imod dem.
Hata hivyo, watu hao wavuta makasia kwa bidii ili kurudi nchi kavu, lakini hawakuweza kufanya hivyo kwa sababu bahari ilikuwa imechafuka zaidi dhidi yao.
14 Så råbte de til HERREN; "Ak, HERRE! Lad os ikke omkomme for denne Mands Sjæls Skyld og lad ikke uskyldigt Blod komme over os; thi det erjo dig, HERRE, derhar gjort, som du vilde."
Basi wakamwomba Bwana, wakasema, Tunakuomba, Bwana, tunakuomba, usiache tuangamize kwa sababu ya maisha ya mtu huyu; wala usituwekee hatia ya kufa kwake, kwa kuwa wewe, Bwana, umefanya kama ulivyopenda.
15 Derpå tog de Jonas og kastede ham i Havet, og straks lagde det sig.
Basi wakamchukua Yona wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.
16 Og Mændene grebes af stor Rædsel for HERREN, bragte ham et Slagtoffer og aflagde Løfter.
Ndipo watu wale wakamuogopa Bwana sana. Wakamtolea dhabihu Bwana na kuweka nadhiri.
17 Men HERREN bød en stor Fisk sluge Jonas; og Jonas var i Fiskens Bug tre Dage og tre Nætter.
Bwana alikuwa ameandaa samaki mkubwa kummeza Yona, na Yona alikuwa ndani ya tumbo lasamaki siku tatu na usiku wa tatu.

< Jonas 1 >