< Job 41 >

1 Kan du trække Krokodillen op med Krog og binde dens Tunge med Snøre?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Kan du mon stikke et Siv i dens Snude, bore en Krog igennem dens Kæber?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Mon den vil trygle dig længe og give dig gode Ord?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Mon den vil indgå en Pagt med dig, så du får den til Træl for evigt?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Han du mon lege med den som en Fugl og tøjre den for dine Pigebørn?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Falbyder Fiskerlauget den og stykker den ud mellem Sælgerne?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Mon du kan spække dens Hud med Kroge og med Harpuner dens Hoved?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Læg dog engang din Hånd på den! Du vil huske den Kamp og gør det ej mer.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Det Håb vilde blive til Skamme, alene ved Synet lå du der.
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Ingen drister sig til at tirre den, hvem holder Stand imod den?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Hvem møder den og slipper fra det hvem under hele Himlen?
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Jeg tier ej om dens Lemmer, hvor stærk den er, hvor smukt den er skabt.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Hvem har trukket dens Klædning af, trængt ind i dens dobbelte Panser?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Hvem har åbnet dens Ansigts Døre? Rundt om dens Tænder er Rædsel.
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Dens Ryg er Reder af Skjolde, dens Bryst er et Segl af Sten;
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 de sidder tæt ved hverandre, Luft kommer ikke ind derimellem;
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 de hænger fast ved hverandre, uadskilleligt griber de ind i hverandre.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Dens Nysen fremkalder strålende Lys, som Morgenrødens Øjenlåg er dens Øjne.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Ud af dens Gab farer Fakler, Ildgnister spruder der frem.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Em står ud af dens Næsebor som af en ophedet, kogende Kedel.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Dens Ånde tænder som glødende Kul, Luer står ud af dens Gab.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Styrken bor på dens Hals, og Angsten hopper foran den.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 Tæt sidder Kødets Knuder, som støbt til Kroppen; de rokkes ikke;
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 fast som Sten er dens Hjerte støbt, fast som den nederste Møllesten.
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 Når den rejser sig, gyser Helte, fra Sans og Samling går de af Skræk.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 Angriberens Sværd holder ikke Stand, ej Kastevåben, Spyd eller Pil.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 Jern regner den kun for Halm og Kobber for trøsket Træ;
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Buens Søn slår den ikke på Flugt, Slyngens Sten bliver Strå for den,
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Stridskøllen regnes for Rør, den ler ad det svirrende Spyd.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 På Bugen er der skarpe Rande, dens Spor i Dyndet er som Tærskeslædens;
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Dybet får den i Kog som en Gryde, en Salvekedel gør den af Floden;
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 bag den er der en lysende Sti, Dybet synes som Sølverhår.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Dens Lige findes ikke på Jord, den er skabt til ikke at frygte.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 Alt, hvad højt er, ræddes for den, den er Konge over alle stolte Dyr.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Job 41 >