< Job 10 >

1 Min Sjæl er led ved mit Liv, frit Løb vil jeg give min Klage over ham, i min bitre Sjælenød vil jeg tale,
Nimechoka na maisha yangu; Nitanena wazi manung'uniko yangu; nitasema kwa uchungu wa roho yangu.
2 sige til Gud: Fordøm mig dog ikke, lad mig vide, hvorfor du tvister med mig!
Nitamwambia Mungu, 'Usinihukumie makosa; nionyeshe sababu za wewe kunilaumu mimi. Je
3 Gavner det dig at øve Vold, at forkaste det Værk, dine Hænder danned, men smile til gudløses Råd?
ni vizuri kwako wewe kunionea mimi, kudharau kazi ya mikono yako wakati unafurahia juu ya mipango ya waovu?
4 Har du da kødets Øjne, ser du, som Mennesker ser,
Je wewe una macho ya kimwili? Je wewe unaona kama mtu aonavyo?
5 er dine Dage som Menneskets Dage, er dine År som Mandens Dage,
Je siku zako ni kama siku za wanadamu au miaka yako ni kama miaka ya watu,
6 siden du søger efter min Brøde, leder efter min Synd,
hata ukauliza habari za uovu wangu na kuitafuta dhambi yangu,
7 endskønt du ved, jeg ikke er skyldig; men af din Hånd er der ingen Redning!
ingawa wewe wafahamu mimi sina kosa na hapana mwingine awezaye kuniokoa mimi na mkono wako?
8 Dine Hænder gjorde og danned mig først, så skifter du Sind og gør mig til intet!
Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka, hata hivyo unaniangamiza.
9 Kom i Hu, at du dannede mig som Ler, og til Støv vil du atter gøre mig!
Kumbuka, nakuomba, ulivyonifinyanga kama vile udongo; je utanirudisha mavumbini tena?
10 Mon du ikke hældte mig ud som Mælk og lod mig skørne som Ost,
Je wewe hukunimimina kama maziwa na kunigandisha mfano wa jibini?
11 iklædte mig Hud og kød og fletted mig sammen med Ben og Sener?
Umenivika ngozi na nyama na kuniunganisha pamoja kwa mifupa na misuli.
12 Du gav mig Liv og Livskraft, din Omhu vogted min Ånd
Wewe umenizawadia mimi uhai na ahadi ya upendeleo na usaidizi wako umeilinda roho yangu.
13 og så gemte du dog i dit Hjerte på dette, jeg skønner, dit Øjemed var:
Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni mwako - nafahamu kwamba hivi ndivyo ufikirivyo:
14 Synded jeg, vogted du på mig og tilgav ikke min Brøde.
kuwa kama nimefanya dhambi, wewe utaizingatia; hutaniachilia na uovu wangu.
15 Fald jeg forbrød mig, da ve mig! Var jeg retfærdig, jeg skulde dog ikke løfte mit Hoved, men mættes med Skændsel, kvæges med Nød.
Kama mimi ni muovu, ole wangu; hata kama ni mwenye haki, sitaweza kuinua kichwa changu, kwa kuwa nimejaa aibu na kuyaangalia mateso yangu.
16 Knejsed jeg, jog du mig som en Løve, handlede atter ufatteligt med mig;
Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe, waniwinda kama simba; tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.
17 nye Vidner førte du mod mig, øged din Uvilje mod mig, opbød atter en Hær imod mig!
Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
18 Hvi drog du mig da af Moders Liv? Jeg burde have udåndet, uset af alle;
Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione.
19 jeg burde have været som aldrig født, været ført til Graven fra Moders Skød.
Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
20 Er ej mine Livsdage få? Så slip mig, at jeg kan kvæges lidt,
Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo
21 før jeg for evigt går bort til Mørkets og Mulmets Land,
kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti,
22 Landet med bælgmørkt Mulm, med Mørke og uden Orden, hvor Lyset selv er som Mørket."
ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'”

< Job 10 >