< Esajas 47 >

1 Stig ned, sid i Støvet, du Jomfru, Babels Datter, sid uden Trone på Jorden, Kaldæernes Datter! Thi ikke mer skal du kaldes den fine, forvænte!
Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
2 Tag fat på Kværnen, mal Mel, læg Sløret bort, løft Slæbet, blot dine Ben og vad over Strømmen!
Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
3 Din Blusel skal blottes, din Skam skal ses. Hævn tager jeg uden Skånsel, siger vor Genløser,
Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
4 hvis Navn er Hærskarers HERRE, Israels Hellige.
Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
5 Sid tavs og gå ind i Mørke, Kaldæernes Datter, thi ikke mer skal du kaldes Rigernes Dronning!
Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
6 Jeg vrededes på mit Folk, vanæred min Arv, gav dem hen i din Hånd; du viste dem ingen Medynk, du lagde dit tunge Åg på Oldingens Nakke.
Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
7 Du sagde: "Jeg bliver evindelig Evigheds Dronning." Du tog dig det ikke til Hjerte, brød dig ikke om Enden.
Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
8 Så hør nu, du yppige, du, som sidder i Tryghed, som siger i Hjertet: "Kun jeg, og ellers ingen! Aldrig skal jeg sidde Enke, ej kende til Barnløshed."
Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
9 Begge Dele skal ramme dig brat samme Dag, Barnløshed og Enkestand ramme dig i fuldeste Mål, dine mange Trylleord, din megen Trolddom til Trods,
''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
10 skønt du tryg i din Ondskab sagde: "ingen ser mig." Din Visdom og Viden var det, der ledte dig vild, så du sagde i Hjertet: "Kun jeg, og ellers ingen!"
Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
11 Dig rammer et Onde, du ikke kan købe bort, over dig falder et Vanheld, du ikke kan sone, Undergang rammer dig brat, når mindst du aner det.
Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
12 Kom med din Trolddom og med dine mange Trylleord, med hvilke du umaged dig fra din Ungdom, om du kan bøde derpå og skræmme det bort.
Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
13 Med Rådgiverhoben sled du dig træt, lad dem møde, lad Himmelgranskerne frelse dig, Stjernekigerne, som Måned for Måned kundgør, hvad dig skal ske!
Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
14 Se, de er blevet som Strå, de, fortæres af Ild, de frelser ikke deres Liv fra Luens Magt. "Ingen Glød til Varme, ej Bål at sidde ved!"
Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
15 Sligt får du af dem, du umaged dig med, dine Troldmænd fra Ungdommen af; de raver hver til sin Side, dig frelser ingen.
Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''

< Esajas 47 >