< Hoseas 10 >

1 En frodig vinstok var Israel, som bar sin frugt, jo flere frugter, des flere Altre; som Landet gik frem, des skønnere Støtter.
Israeli ni mzabibu mzuri ambao huzaa matunda yake. kwa kadiri matunda yake yanavyoongezeka vivyo hivyo anajenga madhabahu nyingi. Kwa kuwa nchi yake ilizalishwa zaidi, aliboresha nguzo zake.
2 Deres Hjerte var glat, så lad dem da bøde! Han skal slå Altrene ned, lægge Støtterne øde.
Moyo wao ni udanganyifu; sasa wanapaswa kubeba hatia yao. Bwana ataharibu madhabahu zao; ataharibu nguzo zao.
3 De siger jo nu: "Vi har ingen Konge; thi HERREN frygter vi ej; en Konge, hvad gavner han os?"
Kwa maana watasema, “Hatuna mfalme, kwa maana hatukumcha Bwana. Na mfalme-angeweza kutufanyia nini?”
4 Med Ord slår de om sig, gør Mened og indgår Forbund, så Ret bliver Gifturt, der gror langs Markens Furer.
Wanasema maneno tupu na kufanya maagano kwa kuapa uongo. Kwa hivyo haki inakuja kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba.
5 For Bet-Avens Kalv skal Samarias Borgere ængstes, ja, over den skal dens Folk og dens Præster sørge, jamre over deres Skat, thi den bortføres fra dem;
Wakazi wa Samaria wataogopa kwa sababu ya ndama za Beth Aveni. Watu wake waliomboleza juu yao, kama walivyofanya wale makuhani wa sanamu ambao walikuwa wamefurahi juu yao na utukufu wao, lakini hawako tena.
6 som Gave til Storkongen føres og den til Assur. Efraim høster kun Skændsel, Israel Skam af sin Afgud.
Wao watachukuliwa kwenda Ashuru kama sadaka kwa mfalme mkuu. Efraimu atakuwa na aibu, na Israeli atakuwa na aibu kwa sanamu yake.
7 Samarias Konge slettes som Skum på Vandets Flade.
Mfalme wa Samaria ataangamizwa, kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji.
8 Øde er Afgudshøjene, Israels Synd, og på deres Altre skal Torn og Tidsel gro. De siger til Bjergene: "Skjul os!" til Højene: "Fald ned over os!"
Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa. Hii ndiyo dhambi ya Israeli! Miti na vichaka vitakua juu ya madhabahu zao. Watu wataiambia milima, “Tufunike sisi!” na kwa vilima, “Tuangukieni!”
9 Du syndede, Israel, helt fra Gibeas Dage. Der i Gibea sagde man: "Krig skal ej nå os!" Men jeg kom over de Niddinger, revsede dem;
Ee Israeli, umetenda dhambi tangu siku za Gibea; huko umebaki. Je, vita vitawapata wana wa uovu huko Gibea?
10 Stammerne samled sig mod dem til Tugt for tvefold Brøde.
Nitakapotaka, nitawaadhibu. Mataifa wataungana pamoja nao na kuwaweka katika vifungo kwa uovu wao mara mbili.
11 En tilvænnet Kvie var Efraim, tærskede villigt, Åget lagde jeg selv på dens skønne Hals; for Ploven spændte jeg Efraim, Juda for Harven.
Efraimu ni ndama mwenye mafunzo ambayo anapenda kupura nafaka, hivyo nitaweka jozi juu ya shingo yake nzuri. Efraimu nitauweka jozi; Yuda ataimea; Yakobo atauvuta pigo kwa nafsi yake.
12 Så eders Sæd i Retfærd, høst i Fromhed; bryd eder kundskabs Nyjord og søg så HERREN, til Retfærds Frugt bliver eder til Del.
Jifanyieni haki, vuneni matunda ya uaminifu wa agano. Chimbueni ardhi yenu isiyopandwa, kwa maana ni wakati wa kumtafuta Bwana, mpaka atakapokuja na kuinua haki juu yenu.
13 I pløjede Gudløshed, høstede Uret, fortærede Løgnens Frugt. Fordi du slår Lid til dine Vogne og mange Helte,
Mmelima uovu; mmevuna udhalimu. Mmekula matunda ya udanganyifu kwa sababu uliamini katika mipango yako na katika askari wako wengi.
14 skal Kampgny stå i dine Byer og alle dine Borge. De skal ødelægges, som da Sjalman ødelagde Bet-Arbel på Stridens Dag. Moder skal knuses hos Børn.
Kwa hiyo mlipuko wa vita utafufuka kati ya watu wako, na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa. Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita, wakati mama alivunjika vipande vipande na watoto wake.
15 Det voldte Betel eder. For din Ondskabs Skyld skal Israels Konge, ved Morgengry gøres til intet.
Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa. Wakati wa mchana mfalme wa Israeli atakatwa kabisa.

< Hoseas 10 >