< Hebræerne 2 >
1 Derfor bør vi des mere agte på det, vi have hørt, for at vi ikke skulle rives bort.
Kwa hiyo ni lazima tuweke kipaumbele zaidi kwa yale tuliyosikia, ili kwamba tusije tukatengwa mbali nayo.
2 Thi når det Ord, som taltes ved Engle, blev urokket, og hver Overtrædelse og Ulydighed f1k velforskyldt Løn,
Kwa maana ikiwa ujumbe uliozungumzwa na malaika ni halali, na kila kosa na uasi hupokea adhabu tu,
3 hvorledes skulle da vi undfly, når vi ikke bryde os om så stor en Frelse, som jo efter først at være bleven forkyndt ved Herren, er bleven stadfæstet for os af dem, som havde hørt ham,
tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu huu mkuu? —wokuvu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana na kuthibitishwa kwetu na wale waliousikia.
4 idet Gud vidnede med både ved Tegn og Undere og mange Hånde kraftige Gerninger og ved Meddelelse af den Helligånd efter sin Villie.
Mungu pia aliuthibitisha kwa ishara, maajabu, na kwa matendo makuu mbalimbali, na kwa zawadi za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake mwenyewe.
5 Thi det var ikke Engle, han underlagde den kommende Verden; om hvilken vi tale.
Mungu hakuuweka ulimwengu ujao, ambao tunaongelea habari zake, chini ya malaika.
6 Men en har vidnet et Sted og sagt: "Hvad er et Menneske, at du kommer ham i Hu? eller en Menneskesøn, at du ser til ham?
Badala yake, mtu fulani ameshuhudia mahali fulani akisema, “Mtu ni nani, hata uweze kumkumbuka? Au mwana wa mtu, hata umtunze?
7 Du gjorde ham en kort Tid ringere end Engle; med Herlighed og Ære kronede du ham;
mtu kuwa mdogo kuliko malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima. (Zingatia: Katika nakala halisi za kwanza, mstari huu haupo. “Na umemuweka juu ya kazi ya mikono yako.)
8 alle Ting lagde du under hans Fødder". - Idet han nemlig underlagde ham alle Ting, undtog han intet fra at være ham underlagt. Nu se vi imidlertid endnu ikke alle Ting underlagte ham;
Umeweka kila kitu chini ya miguu yake.” Kwa hiyo Mungu ameweka kila kitu chini ya mtu. Hakuacha kitu chochote ambacho hakiko chini yake. Lakini sasa hivi hatuoni bado kila kitu kikiwa chini yake.
9 men ham, som en kort Tid var bleven gjort ringere end Engle, Jesus, se vi på Grund af Dødens Lidelse kronet med Herlighed og Ære, for at han ved Guds Nåde må have smagt Døden for alle.
Hata hivyo, tunaona ambaye alikuwa amefanywa kwa muda, chini kuliko malaika—Yesu, ambaye, kwa sababu ya mateso yake na kifo chake, amevikwa taji ya utukufu na heshima. Hivyo sasa kwa neema ya Mungu, Yesu ameonja kifo kwa ajili ya kila mtu.
10 Thi det sømmede sig ham, for hvis Skyld alle Ting ere, og ved hvem alle Ting ere, når han førte mange Sønner til Herlighed, da at fuldkomme deres Frelses Ophavsmand igennem Lidelser.
Ilikuwa sahihi kwamba Mungu, kwa sababu kila kitu kipo kwa ajili yake na kupitia yeye, alipaswa kuwaleta watoto wengi katika utukufu, na kwamba alipaswa kumfanya kiongozi katika wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso yake.
11 Thi både den, som helliger, og de, som helliges, ere alle af een; hvorfor han ikke skammer sig ved at kalde dem Brødre,
Kwa maana wote wawili yule anayeweka wakfu na wale ambao wanawekwa wakfu, wote wanatoka kwenye asili moja, Mungu. Kwa sababu hii yule anayewaweka wakfu kwa Mungu haoni aibu kuwaita ndugu.
12 når han siger: "Jeg vil forkynde dit Navn for mine Brødre, midt i en Menighed vil jeg lovsynge dig."
Anasema, “Nitatangaza jina lako kwa ndugu zangu, nitaimba kuhusu wewe kutoka ndani ya kusanyiko.”
13 Og fremdeles: "Jeg vil forlade mig på ham." Og fremdeles: "Se, her er jeg og de Børn, som Gud har givet mig."
Tena asema, “Nitaamini katika yeye.” Na tena, “Tazama, hapa nipo na watoto ambao Mungu amenipa.”
14 Efterdi da Børnene ere delagtige i Blod og Kød, blev også han i lige Måde delagtig deri, for at han ved Døden skulde gøre den magtesløs, som har Dødens Vælde, det er Djævelen,
Kwa hiyo, kwa kuwa watoto wa Mungu wote hushiriki mwili na damu, kadhalika Yesu alishiriki vitu vilevile, ili kwamba kupitia kifo apate kumdhohofisha yule ambaye ana mamlaka juu ya mauti, ambaye ni ibilisi.
15 og befri alle dem, som på Grund af Dødsfrygt vare under Trældom al deres Livs Tid.
Hii ilikuwa hivyo ili awaweke huru wale wote ambao kupitia hofu ya kifo waliishi maisha yao yote katika utumwa.
16 Thi det er jo dog ikke Engle, han tager sig af, men Abrahams Sæd tager han sig af.
Kwa hakika siyo malaika anaowasaidia. Badala yake, anawasaidia wazao wa Abraham.
17 Derfor måtte han blive sine Brødre lig i alle. Ting, for at han kunde blive en barmhjertig og trofast Ypperstepræst over for Gud til at sone Folkets Synder.
Kwa hiyo, ilikuwa lazima yeye awe kama ndugu zake katika njia zote, ili aweze kuwa kuhani mkuu mwenye huruma na mwaminifu kwa vitu vya Mungu, na ili kwamba awe na uwezo wa kutoa msamaha kwa dhambi za watu.
18 Thi idet han har lidt, kan han som den, der selv er fristet, komme dem til Hjælp, som fristes.
Kwa sababu Yesu mwenyewe ameteseka, na kujaribiwa, ana uwezo wa kuwasaidia wale wanaojaribiwa.