< 1 Mosebog 4 >

1 Adam kendte sin Hustru Eva, og hun blev frugtsommelig og fødte Kain; og hun sagde: "Jeg har fået en Søn med HERRENS Hjælp!"
Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.”
2 Fremdeles fødte hun hans Broder Abel. Abel blev Fårehyrde, Kain Agerdyrker.
Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.
3 Nogen Tid efter bragte Kain HERREN en Offergave af Jordens Frugt,
Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana.
4 medens Abel bragte en Gave af sin Hjords førstefødte og deres Fedme. Og HERREN så til Abel og hans Offergave,
Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,
5 men til Kain og hans Offergave så han ikke. Kain blev da såre vred og gik med sænket Hoved.
lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.
6 Da sagde HERREN til Kain: "Hvorfor er du vred, og hvorfor går du med sænket Hoved?
Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?
7 Du ved, at når du handler vel, kan du løfte Hovedet frit; men handler du ikke vel, så lurer Synden ved Døren; dens Attrå står til dig, men du skal herske over den!"
Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”
8 Men Kain yppede Kiv med sin Broder Abel; og engang de var ude på Marken, sprang Kain ind på ham og slog ham ihjel.
Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.
9 Da sagde HERREN til Kain: "Hvor er din Broder Abel?" Han svarede: "Det ved jeg ikke; skal jeg vogte min Broder?"
Kisha Bwana akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
10 Men han sagde: "Hvad har du gjort! Din Broders Blod råber til mig fra Jorden!
Bwana akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.
11 Derfor skal du nu være bandlyst fra Agerjorden, som åbnede sig og tog din Broders Blod af din Hånd!
Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.
12 Når du dyrker Agerjorden, skal den ikke mere skænke dig sin Kraft du skal flakke hjemløs om på Jorden!"
Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”
13 Men Kain sagde til HERREN: "Min Straf er ikke til at bære;
Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.
14 når du nu jager mig bort fra Agerjorden, og jeg må skjule mig for dit Åsyn og flakke hjemløs om på Jorden, så kan jo enhver, der møder mig, slå mig ihjel!"
Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”
15 Da svarede HERREN: "Hvis Kain bliver slået ihjel, skal han hævnes; syvfold!" Og HERREN satte et Tegn på Kain, for at ingen, der mødte ham, skulde slå ham ihjel.
Lakini Bwana akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha Bwana akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.
16 Så drog Kain bort fra HERRENs Åsyn og slog sig ned i Landet Nod østen for Eden.
Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.
17 Kain kendte sin Hustru, og hun blev frugtsommelig og fødte Hanok. Han grundede en By og gav den sin; Søn Hanoks Navn.
Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.
18 Hanok fik en Søn Irad; Irad avlede Mehujael; Mehujael avlede Mehujael; og Metusjael avlede Lemek
Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Lemek tog sig to Hustruer; den ene hed Ada, den anden Zilla.
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
20 Ada fødte Jabal; han blev Stamfader til dem, der bor i Telte og holder Kvæg;
Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.
21 hans Broder hed Jubal; han blev Stamfader til alle dem, der spiller på Harpe og Fløjte.
Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.
22 Også Zilla fik en Søn, Tubal-Kajin; han blev Stamfader til alle dem, der smeder Kobber og Jern. Tubal-Kajins Søster var Na'ama.
Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.
23 Og Lemelk sagde til sine Hustruer: "Ada og Zilla, hør min Røst, Lemeks Hustruer, lyt til mit Ord: En Mand har jeg dræbt for et Sår, en Dreng for en Skramme!
Lameki akawaambia wake zake, “Ada na Sila nisikilizeni mimi; wake wa Lameki sikieni maneno yangu. Nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana mdogo kwa kuniumiza.
24 Blev Kain hævnet syvfold, så hævnes Lemek syv og halvfjerdsindstyve Gange!"
Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba, basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”
25 Adam kendte på ny sin Hustru, og hun fødte en Søn, som hun gav Navnet Set; "thi," sagde hun, "Gud har sat mig andet Afkom i Abels Sted, fordi Kain slog ham ihjel!"
Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”
26 Set fik også en Søn, som han kaldte Enosj; på den Tid begyndte man at påkalde HERRENs Navn.
Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi. Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.

< 1 Mosebog 4 >