< Ezra 10 >

1 Medens Ezra nu under Bøn og Syndsbekendelse grædende kastede sig ned foran Guds Hus, samlede en stor Skare Israeliter sig om ham, både Mænd, Kvinder og Børn, thi Folket græd heftigt.
Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
2 Derpå tog Sjekanja, Jehiels Søn, af Elams Efterkommere til Orde og sagde til Ezra: Vi har været froløse mod vor Gud ved at hjemføre fremmede Kvinder af Hedningerne i Landet. Men trods alt er der endnu Håb for Israel.
Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
3 Lad os slutte Pagt for vor Gud om at sbille os af med alle vore fremmede Kvinder og deres Børn efter min Herres Bestemmelse og deres, som bæver for Guds Bud, og lad der blive handlet efter Loven!
sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
4 Stå op, thi det er dig, der skal tage dig af Sagen, og vi vil stå dig bi; vær frimodig og tag fat!
Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
5 Da stod Ezra op og tog Præsternes, Leviternes og hele Israels Øverster i Ed på, at de vilde handle således, og de aflagde Eden.
Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
6 Derpå rejste Ezra sig fra Pladsen foran Guds Hus og begav sig til Johanans, Eljasjibs Søns, Kammer, hvor han tilbragte Natten; han hverken spiste eller drak, fordi han græmmede sig over Troløsheden hos dem, der havde været i Landflygtighed.
Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
7 Derpå lod man kundgøre i Juda og Jerusalem forætlle dem, der havde været i Landflygtighed, at de skulde give Møde i Jerusalem;
Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
8 og enhver, som ikke indfandt sig Tredjedagen derefter ifølge Øversternes og de Ældstes Bestemmelse, al hans Ejendom skulde der lægges Band på, og han selv skulde udelukkes fra deres Forsamling, der havde været i Landflygtighed.
Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
9 Så samledes alle Mænd af Juda og Benjamin på Tredjedagen i Jerusalem; det var den tyvende Dag i den niende Måned; og alt Folket stillede sig op på den åbne Plads ved Guds Hus, skælvende både for Sagens Skyld og som Følge af Regnskyllene.
Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
10 Derpå stod Præsten Ezra op og sagde til dem: "I har forbrudt eder ved at hjemføre fremmede Kvinder og således øget Israels Syndeskyld;
Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
11 så bekend da nu eders Synd for HERREN, eders Fædres Gud, og gør hans Vilje; skil eder ud fra Hedningerne i Landet og fra de fremmede Kvinder!"
Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
12 Og hele Forsamlingen svarede med høj Røst: "Som du siger, bør vi gøre!
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
13 Men Folket er talrigt, og det er Vinterregnens Tid, så vi kan ikke blive stående her ude; og Sagen kan heller ikke afgøres på en Dag eller to, da vi har forbrudt os højligen her.
haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
14 Lad derfor Øversterne for hele vor Forsamling give Møde og lad alle dem, der i vore Byer har hjemført fremmede Kvinder, indfinde sig til en fastsat Tid, ledsaget af de enkelte Byers Ældste og Dommere, for at vi kan blive friet fra vor Guds Vrede i denne Sag!
Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
15 Kun Jonatan, Asa'els Søn, og Jazeja, Tikvas Søn, satte sig derimod med Støtte fra Mesjullam og Leviten Sjabbetaj.
Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
16 Men de, der havde været i Landflygtighed, handlede derefter; og Præsten Ezra udvalgte sig nogle Mænd, Overhovederne for de enkelte Fædrenehuse, alle med Navns Nævnelse. Disse holdt da Møde den første Dag i den tiende Måned for at undersøge Sagen,
Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
17 og de var færdige med alle de Mænd, som havde hjemført fremmede Kvinder, til den første Dag i den første Måned.
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
18 Blandt Præsterne fandtes følgende, der havde hjemført fremmede Kvinder: Af Jesuas, Jozadaks Søns, Efterkommere og hans Brødre Ma'aseja, Eliezer, Jarib og Gedalja;
Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
19 disse gav deres Hånd på at ville sende deres Hustruer bort, og deres Skyldoffer var en Væder for deres Syndeskyld.
Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
20 Af Immers Efterkommere: Hanani og Zebadja.
Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
21 Af Harims Efterkommere: Ma'aseja, Elija, Sjemaja, Jehiel og Uzzija.
Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
22 Af Pasjhurs Efterkommere: Eljoenaj, Ma'aseja, Jisjmael, Netan'el, Jozabad og El'asa.
Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
23 Af Leviterne: Jozabad, Sjim'i. Kelaja, det er Kelita, Petaja, Juda og Eliezer.
Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
24 Af Tempelsangerne: Eljasjib og Zakkur. Af Dørvogterne Sjallum, Telem og Uri.
Miongoni mwa Israel waliobaki -
25 Af Israel: Af Par'osj's Efterkommere: Ramja, Jizzija, Malkija, Mijjamin, El'azar, Malkija og Benaja.
Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
26 Af Elams Efterkommere: Mattanja, Zekarja, Jehiel, Abdi, Jeremot og Elija.
Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
27 Af Zattus Efterkommere: Eljoenaj, Eljasjib, Mattanja, Jeremot, Zabad og Aziza.
Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
28 Af Bebajs Efterkommere: Johanan, Hananja, Zabbaj og Atlaj.
Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
29 Af Banis Efterkommere: Mesjullam, Malluk, Adaja, Jasjub, Sjeal og Ramot.
Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
30 Af Pahat-Moabs Efterkommere: Adna, Kelal, Benaja, Ma'aseja, Mattanja, Bezal'el, Binnuj og Menassje.
Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
31 Af Harims Efterkommere: Eliezer, Jissjija, Malkija, Sjemaja, Sjim'on,
Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
32 Binjamin, Malluk og Sjemarja.
Benyamini na Maluki na Shemaria
33 Af Hasjums Efterkommere: Mattenaj, Mattatta, Zabad, Elifelef, Jeremaj, Menassje og Sjim'i.
Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Af Banis Efterkommere: Ma'adaj, Amram, Uel,
Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
35 Benaja, Bedeja, Keluhu,
Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
36 Vanja, Meremot, Eljasjib,
wania, na Meremothi, Eliashibu,
37 Mattanja, Mattenaj og Ja'asaj.
Matania, na Matenai. na
38 Af Binnujs Efterkommere: Sjim'i,
Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
39 Sjelemja, Natan, Adaja,
Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
40 Maknadbaj, Sjasjaj, Sjaraj,
Maknadebai, na Shashai, na Sharai
41 Azar'el, Sjelemja, Sjemarja,
Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
42 Sjallum, Amarja og Josef.
Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43 Af Nebos Efterkommere: Je'iel, Mattitja, Zabad, Zebina, Jaddaj, Joel og Benaja.
Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
44 Alle disse havde taget fremmede Kvinder til Ægte, men sendte nu Hustruer og Børn bort.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.

< Ezra 10 >