< Ezekiel 8 >

1 I det sjette År på den femte dag i den sjette måned da jeg sad i mit Hus og Judas Ældste sad hos mig, faldt den Herre HERRENs Hånd på mig.
Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa Bwana Mwenyezi ulikuja juu yangu.
2 Og jeg skuede, og se, der var noget ligesom en Mand; fra hans Hofter og nedefter var der Ild, og fra Hofterne og opefter så det ud som strålende Lys, som funklende Malm.
Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto.
3 Han rakte noget som en Hånd ud og greb mig ved en Lok af mit Hovedhår, og Ånden løftede mig op mellem Himmel og Jord og førte mig i Guds Syner til Jerusalem, til Indgangen til den indre Forgårds Nordport, hvor Nidkærhedsbilledet, som vakte Nidkærhed, stod.
Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu.
4 Og se, der var Israels Guds Herlighed; at se til var den, som jeg så den i Dalen.
Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.
5 Og han sagde til mig: "Menneskesøn, løft dit Blik mod Nord!" Jeg løftede mit Blik mod Nord, og se, norden for Alterporten stod Nidkærhedsbilledet, ved Indgangen.
Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.
6 Og han sagde til mig: "Menneskesøn, ser du, hvad de gør? Store er de Vederstyggeligheder, Israels Hus øver her, så jeg må vige langt bort fra min Helligdom. Men du skal få endnu større Vederstyggeligheder at se!"
Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”
7 Så førte han mig hen til Indgangen til Forgården.
Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.
8 Og han sagde til mig: "Menneskesøn, bryd igennem Væggen!" Og da jeg brød igennem Væggen, så jeg en Indgang.
Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.
9 Og han sagde til mig: "Gå ind og se, hvilke grimme Vederstyggeligheder de øver der!"
Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”
10 Og da jeg kom derind og skuede, se, da var alskens væmmelige Billeder af Kryb og kvæg og alle Israels Huses Afgudsbilleder indridset rundt om på Væggen.
Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli.
11 Og halvfjerdsindstyve af Israels Huses Ældste med Jaazanja, Sjafans Søn, i deres Midte stod foran dem, hver med sit Røgelsekar i Hånden, medens Røgelseskyens Duft steg op.
Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.
12 Da sagde han til mig: "Ser du, Menneskesøn, hvad Israels Huses Ældste øver i Mørke hver i sine Billedkamre? Thi de siger: HERREN ser intet, HERREN har forladt Landet!"
Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘Bwana hatuoni, Bwana ameiacha nchi.’”
13 Og han sagde til mig: "Du skal få endnu større Vederstyggeligheder at se, som de øver!"
Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”
14 Så førte han mig hen til Indgangen til HERRENs Huses Nordport, og se, der sad Kvinder og græd over Tammuz.
Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.
15 Og han sagde til mig: "Ser du det, Menneskesøn? Men du skal få endnu større Vederstyggeligheder at se!"
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
16 Så førte han mig hen til HERRENs Huss indre Forgård, og se, ved Indgangen til HERRENs Helligdom mellem Forhallen og Alteret var der omtrent fem og tyve Mænd; med Ryggen mod HERRENs Helligdom og Ansigtet mod Øst tilbad de Solen.
Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya Bwana, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la Bwana na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.
17 Og han sagde til mig: "Ser du det, Menneskesøn? Har Judas Hus ikke nok i at øve de Vederstyggeligheder her, siden de fylder Landet med Vold og krænker mig endnu mere? Se, hvor de sender Stank op i Næsen på mig"!
Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka!
18 Men derfor vil også jeg handle med dem i Vrede; jeg viser dem ingen Medynk eller Skånsel, og selv om de højlydt råber mig ind i øret vil jeg ikke høre dem.
Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”

< Ezekiel 8 >