< Ezekiel 40 >
1 I det fem og tyvende år efter at vi var ført i landflygtighed, ved nytårstide, på den tiende dag i Måneden i det fjortende År efter Byens indtagelse, netop på den Dag kom HERRENs Hånd over mig, og han førte mig
Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya mji kuchukuliwa-katika siku hiyo hiyo, mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu na alinichukua huko.
2 i Guds Syner til Israels Land og satte mig på et såre højt Bjerg, og på det var der bygget noget som en By mod Syd;
Katika maono ya Mungu akanileta hata nchi ya Israeli. Akanileta kupumzika juu ya kila mlima mrefu sana; upande wa kusini kulikuwa na monekano kana kwamba majengo ya mji.
3 og da han havde ført mig derhen, se, da var der en Mand som Kobber at se til med en Hørgarnssnor og en Målestang i Hånden, og han stod ved Porten.
Kisha akanileta huko. Tazama, kulikuwa na mtu! Mwonekano wake ulikuwa kama mwonekano wa shaba. Alikuwa na uzi wa kitani na mwanzi wa kupimia mkononi mwake, na alisimama katika lango la mji.
4 Manden sagde til mig: "Menneskesøn, se med dine Øjne, hør med dine Ører og læg vel Mærke til alt, hvad jeg viser dig; thi du er ført hid, for at jeg skal vise dig det. Kundgør Israels Hus alt, hvad du ser!"
Huyo mtu akanambia, “Mwanadamu, tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako, na elekeza moyo wako juu ya yote ninayokufunulia, kwa kuwa ulinileta hapa ili niweze kukufunulia haya wewe. Toa taarifa ya kila kitu utakachokiona kwa nyumba ya Israeli.
5 Og se, der var en Mur uden om Templet til alle Sider. Manden holdt i Hånden en Målestang. som var seks Alen lang, en Alen en Håndsbred længere end sædvanlig", og han målte Muren; den var eet Mål bred og eet Mål høj.
Kulikuwa ukuta uliokuwa umezunguka eneo la hekalu. Urefu wa kipimo cha mwanzi katika mkono wa mtu ulikuwa dhiraa sita urefu, kila urefu wa dhiraa ulikuwa dhiraa moja na kipimo cha kiganja cha mkono urefu. Aliupima ukuta; ulikuwa kipimo cha mwanzi mmoja na ufito mmoja urefu.
6 Så gik han op ad syv Trappetrin ind i den Port, hvis Forside vendte mod Øst; og han målte Portens Tærskel til eet Mål i Bredden,
Kisha akaenda hata kwenye lango la hekalu lililokuwa limeelekea mashariki. Akapanda ngazi na kuipima kizingiti cha lango-mwanzi mmoja upana.
7 hvert af Portens Siderum ligeledes til eet Mål i Længden og eet i Bredden, Murpillerne mellem Siderummene til fem Alen og Tærskelen ved Portens Forhal på den Side,
Vyumba vya ulinzi vilikuwa kila mwanzi mmoja urefu na mwanzi mmoja upana; kulikuwa na dhiraa tano katika kila vyumba viwili, na kizingiti cha lango la hekalu karibu na tawa la hekalu kilikuwa mwanzi mmoja urefu.
8 der vendte indad i Porten, til eet Mål.
Akapima tawa la lango; ulikuwa mwanzi mmoja urefu.
9 Og han målte Portens Forhal til otte Alen og dens Murpiller til to; Portens Forhal lå på indersiden.
Akapima tawa la lango. Ilikuwa mwanzi mmoja kwenda chini. Mihimili ilikuwa dhiraa mbili upana. Hili lilikuwa tawa la lango kuelekea hekalu.
10 Portens Siderum, tre på hver Side, lå over for hverandre; de var lige store alle tre; også Murpillerne på begge Sider var lige store.
Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
11 Så målte han Portindgangens Bredde til ti Alen og Portgangens til tretten.
Kisha yule mtu akapima upana wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi; na akapima urefu wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi na tatu.
12 Foran Siderummene var der på begge Sider afspærrede Pladser på een Alen, og selve Siderummene på begge Sider var seks Alen.
Akaupima ukuta uliokuwa mpaka mbele ya vyumba-dhiraa moja urefu. Vyumba vilipimwa dhiraa sita kila upande.
13 Så målte han Porten fra Indervæggen i et Siderum til Indervæggen i Siderummet lige overfor til en Bredde af fem og tyve Alen, Dør over for Dør.
Kisha akapima lango la njia kutoka kwenye paa ya chumba kimoja kuelekea chumba kingine-dhiraa ishirini na tano, kutoka lango la kuingia chumba cha kwanza kuelekea kile cha pili.
14 Så målte han Forhallen til tyve Alen; og Forgården omgav Portens Forhal".
Kisha akapima ukuta uliokuwa umeenda kati ya vyumba vya ulinzi-dhiraa sitini urefu; alipima kwa mbali na tawa la lango.
15 Fra Portens Forside udad til Portforhallens Forside indad var der halvtredsindstyve Alen.
Lango la kuingia kutoka lango la mbele kuelekea lango jingine la tawa la mwisho lilikuwa dhiraa hamsini.
16 Porten havde på begge Sider Gittervinduer, som udvidede sig indad i Siderummene og deres Murpiller; ligeledes havde Forhallen på alle Sider Vinduer, som udvidede sig indad. På Murpillerne til begge Sider var der Palmer.
Kulikuwa na madirisha yaliyokuwa yamefungwa kuelekea vyumba na kuelekea nguzo zake kati ya malango kuzunguka kote; na vivyo hivyo kwa mabaraza. Kulikuwa na madirisha pande zote za ndani, na kila mhimili ulikuwa umepambwa kwa mitende.
17 Derpå førte han mig ind i den ydre Forgård. Og se, der var Kamre, og Forgården rundt var der et stenlagt Stykke; der var tredive Kamre på Stenlægningen.
Kisha huyo mtu akanileta hata ua wa nje mwa hekalu. Tazama, kulikuwa na vyumba, na kulikuwa na kibamba katika ua, pamoja na vyumba thelathini baada ya kibamba.
18 Det stenlagte Stykke stødte op til Portenes Sidemure, lige så bredt som Portene var lange; det var den nedre Stenlægning.
Kibamba kilienda juu hata upande wa malango, na upana wake ulikuwa sawsawa na urefu wa malango. Hiki kilikuwa kibamba cha chini.
19 Han målte Forgårdens Bredde fra den nedre Ports indre Forside til den indre Ports ydre Forside til hundrede Alen. Og han førte mig mod Nord,
Kisha huyo mtu akapima umbali kutoka mebele ya lango la chini hata mbele ya lango la ndani; ilikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki, na sawasawa na upande wa kaskazini.
20 og se, der var en Port, som vendte mod Nord, i den ydre Forgård, og han målte dens Længde og Bredde.
Kisha akapima urefu na upana wa lango lililokuwa upande wa kaskazini mwa ua wa nje.
21 Den havde tre Siderum til hver Side, og Murpillerne og Forhallen havde samme Mål som i den første Port; den var halvtredsindstyve Alen lang og fem og tyve Alen bred.
Kulikuwa na vyumba vitatu pande zote za lango, na lango na matawa yake yalipimwa sawa na lango kubwa-dhiraa hamsini upana wote na dhiraa ishirini na tano upana.
22 Vinduer, Forhal og Palmer havde samme Mål som i den Port, hvis Forside vendte mod Øst; ad syv Trin steg man op dertil, og Forhallen lå inderst inde.
Madirisha yake, tawa, vyumba, na mitende yake vilikabiliana na lango ambalo linaloelekea mashariki. Ngazi saba kuupandia juu hata kwenye tawa lake.
23 En Port til den indre Forgård lå over for Nordporten, ligesom Forholdet var ved Østporten; og han målte fra Port til Port hundrede Alen.
Kulikuwa na lango kwenye ua wa ndani mbele kuelekea mashariki; huyo mtu alipima kutoka lango moja hadi lango jingine-dhiraa mia moja umbali.
24 Så førte han mig mod Syd og se, der var også en Port mod Syd, og han målte dens Murpiller og Forhal; de havde samme Mål som de andre.
Kisha huyo mtu akanileta hata kwenye lango la kuingia la kusini, na kuta zake na tawa vilipimwa sawa kama malango mengine ya nje.
25 Porten og dens Forhal havde Vinduer af samme Slags som de andre. Den var halvtredsindstyve Alen lang og fem og tyve Alen bred;
Kulikuwa na madirisha yaliyofungwa katika lango la njia na tawa lake kama lile lango. Lango la kusini na tawa lake vilipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
26 syv Trin førte op til den; Forhallen lå inderst inde, og der var Palmer på Murpillerne til begge Sider.
Kulikuwa na ngazi saba hadi kwenye lango na matawa yake, na kulikuwa na mitende iliyochongoka juu ya kuta pande zote.
27 Endelig var der en Port til den indre Forgård over for Sydporten: han målte hundrede Alen fra Port til Port.
Kulikuwa na lango la ua wa ndani upande wa kusini, na yule mtu akapima kutoka hilo lango hata lango la kuingia upande wa kusini-dhiraa mia moja umbali.
28 Derpå førte han mig til den indre Forgård gennem Sydporten, og den målte han; den havde samme Størrelse som de andre,
Kishi huyo mtu akanileta hata ua wa ndani karibu na lango lake la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo vile vile kama malango mengine.
29 og dens Siderum, Murpiller og Forhal havde samme Størrelse som de andre; Porten og dens Forhal havde Vinduer rundt om. Den var halvtredsindstyve Alen lang og fem og tyve Alen bred.
Vyumba vyake, kuta, na matao vilipimwa sawa kama malango mengine; kulikuwa na madirisha kuzunguka matao yote. Lango la ndani na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
30 (Der var Forhaller rundt om, fem og tyve Alen lange og fem Alenbrede.
Pia kulikuwa na matao pande zote za kuta za ndani; haya yalikuwa dhiraa ishirini na tano urefu na dhiraa tano upana.
31 Forhallen vendte ud mod den ydre Forgård med Palmer på Murpillerne, og otte Trin dannede dens Opgang.
Hili tawa lilielekea ua wa nje pamoja na mitende iliyochongwa juu ya kuta zake na ngazi nane kuupandia.
32 Så førte han mig til Østporten og målte denne Port; den havde samme Størrelse som de andre,
Kisha yule mtu akanileta hata kwenye ua wa ndani karibu na njia ya kaskazini na kulipima lango, ambalo lilikuwa na vipimo sawa kama malango mengine.
33 og Siderum, Murpiller og Forgård havde samme Størrelse som de andre; Porten og dens Forhal havde Vinduer rundt om. Den var halvtredsindstyve Alen lang og fem og tyve Alen bred.
Vyumba vyake, kuta, na matawa yalikuwa na kipima sawa kama cha malango, na kulikuwa na madirisha pande zote. Laango la ndani na matawa yake yalikuwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
34 Forhallen vendte ud mod den ydre Forgård med Palmer på Murpillerne til begge Sider, og otte Trin dannede dens Opgang.
Matawa yake yalielekea nje ya ua; ilikuwa na mitende pande zote za hiyo na ngazi nane za kuupandia.
35 Så førte han mig til Nordporten og målte den; den havde samme Størrelse som de andre,
Kisha huyo mtu akanileta hata lango la kaskazini na kulipima; likapimwa vivyo hivyo kama malango mengine.
36 ligeledes Siderum, Murpiller og Forhal; Porten og dens Forhal havde Vinduer rundt om. Den var halvtredsindstyve Alen lang og fem og tyve Alen bred.
Vyumba vyake, kuta, na ukumbi vilipimwa sawa na malango mengine, na kulikuwa na madirisha pande zote. Njia ya lango na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na upana dhiraa ishirini na tano.
37 Forhallen vendte ud mod den ydre Forgård med Palmer på Murpillerne til begge Sider, og otte Trin dannede dens Opgang.
Tatawa lake lilielekea ua wa nje; ilikuwa na mitende pande zote za huo na ngazi nane kuupandia.
38 Derpå vendte han sig til det Indre, idet han førte mig til Østporten; der skyllede man Brændofferet
Kulikuwa na chumba pamoja na mlango karibu na kila lango la ndani. Hapa ndipo ambako walipooshea sadaka za kutekezwa.
39 Og i Portens Forhal stod to Borde på den ene Side og to på den anden til at slagte Brændofferet, Syndofferet og Skyldofferet på.
Kulikuwa na meza mbili kila upande wa kila ukumbi, ambako sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa, na pia sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
40 Også ved det ydre Hjørne, mod Nord når man steg op i Portindgangen, stod to Borde og ved Portforhallens andet Hjørne andre to,
Karibu na ukuta wa ua, kuelekea juu kwenye lango kuelekea kaskazini, kulikuwa na meza mbili. Pia kwa upande mwingine kulikuwa na meza mbili kwenye lango la ukumbi.
41 fire Borde på hver Side ved Portens Hjørner, i alt otte. På dem slagtede man Slagtofferet.
Kulikuwa na meza nne pande zote karibu na lango; wakachinja wanyama juu ya meza nane.
42 Og, til Brændofferet stod der tre Kvaderstensborde, halvanden Alen lange, halvanden Alen brede og en Alen høje; på dem lagde man de Redskaber, med hvilke man slagtede Brændofferet og Slagtofferet.
Kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, dhiraa moja na nusu urefu, dhiraa moja na nusu upana, na kimo dhiraa moja. Juu yake waliweka vyombo pamoja ambavyo walivichinjia sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya sadaka.
43 De havde hele Vejen rundt en Rand på en Håndsbred, der vendte indad; og oven over Bordene var der Tage til Værn mod Regn og Sol. Derpå førte han mig atter
Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote, na nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza.
44 til den indre Forgård, og se, der var to Kamre, et ved Nordportens Hjørne med Forsiden mod Syd og et andet ved Sydportens Hjørne med Forsiden mod Nord.
Karibu na lango la ndani, katika ua wa ndani, kulikuwa na vyumba vya waimbaji. Moja ya hivi vyumba kilikuwa upande wa kaskazini, na kingine kusini.
45 Og han sagde til mig: "Kammeret her, hvis Forside vender mod Syd, er for Præsterne, der tager Vare på, hvad der er at varetage i Templet,
Kisha yule mtu akanambia, “Hiki chumba kinachoelekea kusini ni kwa ajili ya makuhani walio zamu katika hekalu.
46 og Kammeret der, hvis Forside vender mod Nord, er for Præsterne, der tager Vare på, hvad der er at varetage ved Alteret. Det er Zadoks Sønoer, som alene af Levis Sønner må nærme sig HERREN for at tjene ham."
Chumba kilichoelekea kaskazini kilikuwa kwa ajili ya makuhani waliokuwa zamu kwenye madhabahu. Hawa ni wana wa Sadoki ambaye huja humkaribia Yahwe kumtumikia; ambao ni miongoni mwa wana wa Lawi.”
47 Så målte han Forgården; den var hundrede Alen lang og hundrede Alen bred i Firkant; og Alteret stod foran Templet.
Kisha akaupima ule ua-dhiraa mia moja urefu na dhiraa mia moja upana mraba, pamoja na madhabahu mbele ya nyumba.
48 Derpå førte han mig til Templets Forhal og målte Forhallens Piller"; de var fem Alen brede på begge Sider; Porten var fjorten Alen bred og dens Sidevægge tre Alen på begge Sider,
Kisha yule mtu akanileta hata kwenye varanda ya nyumba na kupima mwimo wa milango yake-ilikuwa dhiraa tano unene upande huu. Njia ya kuingilia yenyewe ilikuwa dhiraa kumi na nne, na kuta pande zote za huo zilikuwa dhraa tatu upana.
49 og Forhallen var tyve Alen lang og tolv Alen bred. Ad ti Trin steg man op til den; og der stod Søjler op ad Pillerne, een på hver Side.
Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa kumi na moja. Kulikuwa na ngazi zilizokuwa zimepanda juu na nguzo zilizokuwa zimesimama pande zote za huo.