< Ezekiel 25 >
1 HERRENs Ord kom til mig således:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Mennesskesøn, vend dit Ansigt imod Ammoniterne, profeter imod dem
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya watu wa Amoni na tabiri juu yao.
3 og sig til dem: Hør den Herre HERRENs Ord: Så siger den Herre HERREN: Fordi du råbte "Ha, ha!" over min Helligdom, da den vanhelligedes, og over Israels Land, da det lagdes øde, og over Judas Hus, da de vandrede i Landflygtighed,
Waambie watu wa Amoni, 'Sikiliza neno la Bwana Yahwe. Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Kwa sababu umesema, “Aha!” juu ya patakatifu pangu wakati palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda utumwani,
4 se, derfor giver jeg dig i Eje til Østens Sønner; de skal opslå deres Teltlejre og indrette deres Boliger i dig; de skal spise din Frugt og drikke din Mælk.
kwa hiyo, tazama, nitakupatia kwa watu katika mashariki kama milki yao. Watafanya kambi juu yako na kuweka mahema miongoni mwako. Watakula matunda yako na watakunywa maziwa yako.
5 Jeg gør Rabba til Græsgang for Kameler og Ammons Byer til Lejrsted for Småkvæg; og I skal kende, at jeg er HERREN.
Nitamfanya Raba malisho ya ngamia na watu wa Amoni shamba la mifugo. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
6 Thi så siger den Herre HERREN: Fordi du klappede i Hænderne og stampede med Fødderne og med dyb Ringeagt godtede dig af Hjertet over Israels Land,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Umepigia makofi mikono yako na kupiga chapa miguu yako, na kufurahi pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli.
7 se, derfor udrækker jeg Hånden imod dig og gør dig til Rov for Folkene; jeg udrydder dig af Folkeslagene, udsletter dig af Landene og tilintetgør dig; og du skal kende, at jeg er HERREN.
Kwa hiyo, tazama! Nitanyoosha mkono wangu na kukupatia kama mateka kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka watu na kukuangamiza kutoka miongoni mwa nchi! Nitakuharibu, na utajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
8 Så siger den Herre HERREN: Fordi Moab siger: "Se, det er med Judas Hus som med alle de andre Folk!"
Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu Moabu na Seiri husema “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama kila taifa jingine.”
9 se, derfor lægger jeg Moabs Skrænter åbne, så Byerne går tabt fra dets ene Ende til den anden, Landets Pryd, Bet Jesjimot, Baal-Meon og Hirjatajim.
Kwa hiyo, tazama! ntafungua miteremko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka-uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu-
10 Østens Sønner giver jeg det i Eje, for at det ikke mere skal ihukommes blandt Folkene.
kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni. Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa.
11 Jeg holder Dom over Moab; og de skal kende, at jeg er HERREN.
Hivyo nitafanya hukumu juu ya Moabu, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
12 Så siger den Herre HERREN: Fordi Edom optrådte hævngerrigt mod Judas Hus og pådrog sig svar Skyld ved at hævne sig på dem,
Bwana Yahwe asema hivi, Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amefanya makosa katika kufanya hivyo.
13 derfor, så siger den Herre HEEREN: Jeg udrækker Hånden mod Edom og udrydder Folk og Fæ deraf og gør det øde; fra Teman til Dedan skal de falde for Sværdet.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu na kumharibu kila mtu na wanyama huko. Nitawaharibu, sehemu ya ukiwa, kutoka Temani hata Dedani. Wataanguka kwa upanga.
14 Jeg fuldbyrder min Hævn på Edom ved mit Folk Israels Hånd, og de skal handle med Edom efter min Vrede og Harme, og Edom skal kende min Hævn, lyder det fra den Herre HERREN.
Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli, na watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu, na wakitajua kisasi changu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
15 Så siger den Herre HERREN: Fordi Filisterne optrådte hævngerrigt og med Foragt i Hjertet tog Hævn og hærgede i endeløst Had,
Bwana Yahwe asema hivi, 'Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena.
16 derfor, så siger den Herre HERREN: Se, jeg udrækker Hånden mod Filisterne og udrydder kreterne, og jeg tilintetgør, hvad der er levnet ved Havets Strand.
Basi hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazam! Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, na nitakalia mbali Wakerethi na kuwaharibu mabaki yaliyobaki karibu na pwani.
17 Jeg tager vældig Hævn oer dem og revser dem i Vrede; og de skal kende, at jeg er HERREN, når jeg fuldbyrder min Hævn på dem.
Kwa kuwa nitalipiza kisasi kikubwa dhidi yao pamoja na matendo ya ghadhabu kubwa ya adhabu, hivyo watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapolipiza kisasi juu yao.”'